Sad news really! MaProfessor Wa Kipare wanakufa ghafla jamani. Juzi Professor Mkilaha Leo Mavura! Poleni sana wafiwa. Hakika kifo hakijali uko wapi, siku na SAA ikifika unakufa.Duuh...What a sad news..
R.I.P professa
ukibobea katika fani fulani ndio unaitwa Profesa na baada ya wenye fani kupitia shughuli zako km uganga, wizi, ujambazi, ukichecheHivi uprofesa mtu unasomea?je ukifika elimu gan ndo unakuwa profesa?naomba kujua
Sad news really! MaProfessor Wa Kipare wanakufa ghafla jamani. Juzi Professor Mkilaha Leo Mavura! Poleni sana wafiwa. Hakika kifo hakijali uko wapi, siku na SAA ikifika unakufa.
Atakuwa ndugu yanguView attachment 367313 PROFESA MAVURA AFARIKI DUNIA NDANI YA NDEGE
Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Arusha (JKUAT), Profesa Ward Mavura amefariki dunia leo wakati akiwa kwenye ndege aliyokuwa akisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha.
Chanzo kimoja kilicho karibu na familia hiyo kimesema kuwa Profesa Mavura alikuwa anatarajia kwenda India kwa ajili ya matibabu.