Kwa nini alinirusha?
kwa wakazi wa Kigamboni nadhan mtakua mmesikia mwanafunzi aliiyejirusha leo toka kwenye panton. Mida ya saa 11 jioni mpaka sasa hivi.hatujaona mwili wake alikua my best friend. Usiku mwema wadau ila inauma
Nimesikitika sana mtu kujirusha kwenye pantoon!!! Kweli inasikitisha sana unaweza kukuta chanzo ni cha kipuuzi kabisa kama mapenzi, madeni au msongo wa mawazo ambao ungeweza kupata suluhu.
Pole sana kwa kufiwa na best yako dogo.
Unadhani nini chanzo cha kufikia hatma hiyo iwapo alikuwa ni wakaribu yako?
Otherwise, pole sana mkuu!