Peter Kisumo ni Veteran CCM wa siku nyingi. Ni group ya kina Msuya, Songambele, Barongo etc. Alishakuwa waziri katika Serikali ya Nyerere kama sikosei Serikali za mitaa. Lakini ame chair boards nyingi baada ya hapo kama SUDECO, TPC, VODACOM, TFA etc. baada ya ku retire ali settle Moshi akafungua kampuni ya kuuza vifaa vya kilimo - Farm Equipments and General Trading.
Huwezi kuitaja CCM katika mkoa Kilimanjaro bila kumtaja Peter Kisumo, alishiriki sana mwaka 1995 katika kutaka kumuingiza JK madarakani.
Kujuwa historia na waasisi wa TAIFA haihitaji uwe na umri mkubwa ni tabia tu ya watu kutafuta taarifa.