Kufa ni faida na kuishi ni kristo cha msingi ni kujiandaa maana hakuna ajuaye saa yake...
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama vile kivuli, wala hakai kamwe. AYUBU 14: 1 - 2
. Mweeeh hivi wanapitaga huku na kuona watu wanavyowawazia???
sio nemala ni neema.. nilimtangulia darasa moja shule ya msingi nyakahoja mwanza