TANZIA: Mzee Mangula apata pigo

TANZIA: Mzee Mangula apata pigo

Msiba wa Nemela umetushtua wengi she was a leader alikua rais wa wanafunzi na kiongozsi wa darasa na alikua social na kila mtu...hatusifii kwasababu ameondoka ila ni kwasababu she was a charismatic young lady alijitambua sana na alijua alichokitaka,she was focused! Rest in Peace Diplomat wetu Nemela
 
Pole sana Mangula umeondokewa spika mtarajiwa.
 
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama vile kivuli, wala hakai kamwe. AYUBU 14: 1 - 2[

huu mstari unaniumizaga mno!dah jaman inahuzunisha sana.may she RIP.
 
Tunaomba mrekebishe jina ni Neema sio nemela

Kama ni jina la kikabila na ni lake kwanini wabadilishe, ni kusema alikuw ana majina mawili kama watu wengi tuliyonayo. alipenda yeye kutumia Nemela na ndio maana wengi wamelizoea.
 
I see mistari hii ya biblia imeniogopesha kweli !!
Kuna haja ya kubadili mwenendo wa maisha maana mda wowote biashara inaweza kuchangamka !!
 

RIP NEMELA


PICHA: NEMELA MANGULA (KUSHOTO) AKIWA NA WAZAZI WAKE, KATIKATI NI BABA YAKE AMBAYE PIA NI MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA, MZEE PHILIP MANGULA.

...r.i.p Nemela! Mungu Aiweke mahari pema roho ya marehemu.

...inasikitisha!
Eti alikuwa kuwa kwenye sherehe' pale kwenye ukumbi wa NSSF Water Front, nguo yake ikachanika, akamwambia dereva amrudishe nyumbani kubadilisha; walipokuwa wanarudi kwenye sherehe, baada ya kubadilisha nguo, WALIPOFIKA MAENEO KARIBIA NA AGA KHAN HOSPITAL WAKAPATA AJALI' muda wa saa nne usiku.
Walioshudia ajali wanasema kuwa Nemela hakuhumia kati wa waanga wa ajali, ila baada ya magari kugongana battery ya gari kutoka kwenye gari ya lililo gongana, ilichomoka na kumgonga binti huyo
alioneka kutokuwa na majeraha mwilini.
Wote walio husika na ajari hiyo wanaendelea vizuri, isipokuwa Nemela ambaye hakuumia sana ndiye aliyefariki.
"pole sana wafiwa"
 
Pole sana Mzee pamoja na familia yote ya wafiwa. Mungu aiweke roho ya marehemu pale anapostahili.
Samahani mzee, huyu wa kulia ndiye mama mpya wa marehemu?
 
Naomba nikili kuwa Mzee Mangula ni HELO wangu katika siasa za hapa nchini mwetu na ni mtu ambaye nimekuwa nikimjadili kwa kiwango kikubwa japokuwa mimi si mwana CCM hata kwa dakika moja.

Kwa leo nimeona nitoe pole zangu za pekee kwa jinsi nilivyoguswa na kushitushwa na msiba uliotokea kwa kufiwa na binti yake ambaye, alipoteza maisha kwa ajali ya gari. Mzee Mangula amekili kuwa alikuwa anampenda mno binti yake huyo ambaye katika ndoto zake hakuchelea kusema kuwa atakuwa RAIS WA KWANZA MWANAMKE TANZANIA.

nasema tena POLE MZE MANGULA PAMOJA NA WANAFAMILIA WOTE.

TUPO PAMOJA KATIKA MAOMBI NA KUKUTAKIENI FARAJA YA MOYO KATIKA SIKU HIZI NGUMU ZA MAJONZI.

 
My deepest sympathy. RIP Nemela. Kweli kifo kisikie kwa mwingine, ni mtihani mkubwa sana tulionao wanadamu. Poleni Mangula's family!!
 
pole sana Mangula na famila yote kwa ujumla.
 
Magamba na vizazi vyao hawana haki ya kuishi TANGANYIKA hii kwa mabaya waliyowatendea WATANGANYIKA ambayo kamwe hayatafutika mioyoni mwetu mpaka wote waangamie mpaka vizazi vyao...NASEMA WAFE TU maana tumewachoka, TENA WAFE VIFO VIBAYA SANA..
 
Aiseee..... nimesikitika sana. Ni mdogo alafu ni mzuri sana.
Umeona eee utafikiri ni Msukuma au Mnyakyusa wa Kyela
RIP NEMELA
Shadow Basi mtujuze wenzenu mbona Philip Mangula kaoa tena juzi tu, kwani huyu mama naye yupo wapi? Du kuchanganyikiwa kwenye Picha yupo au walikuwa hawajafunga ndoa?
nemela+2.jpg
 
Magamba na vizazi vyao hawana haki ya kuishi TANGANYIKA hii kwa mabaya waliyowatendea WATANGANYIKA ambayo kamwe hayatafutika mioyoni mwetu mpaka wote waangamie mpaka vizazi vyao...NASEMA WAFE TU maana tumewachoka, TENA WAFE VIFO VIBAYA SANA..
Kila Nafsi itaonja Umauti
kwa laana ninayokupa wewe UTATANGULIA jehanamu kabla ya magamba yeyote hajafariki
 
Back
Top Bottom