TANZIA: Mzee Mangula apata pigo

TANZIA: Mzee Mangula apata pigo

kunyala

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
76
Reaction score
18
Kuna msiba wa binti wa philip Mangula uliyotokea usiku wa kuamkia leo. RIP Nemela.

Source: member of. Centre for Foreign Relations Kurasini Dar

Poleni sana wafiwa, nimesikia redioni mtu akielezea, walicheza nae mzuki cku ya sendoff ya wifi yake, nguo yake ikachanika bahati mbaya akaanga anakwenda badili nguo atarudi, ndio njiani akapata ajali

Mungu amrehemu

habari zilizopo ni kuwa Mzee Philip Mangula,M/kiti msaidizi wa CCM Tz Bara amefiwa na mwanae wa kike ajulikanaye kwa jina la Nemela Mangula.

Kifo cha binti huyo kimetokana na ajali ya gari aliyoipata wakati akivuka barabara kuhudhuria tukio la Send off... Nemela ni binti mdogo wa Mangula,amepoteza maisha akiwa bado ni mdogo sana kiumri,msiba upo maeneo ya O'bay karibu na Maeneo ya Diplomatic Shop.
Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema Peponi


RIP NEMELA


PICHA: NEMELA MANGULA (KUSHOTO) AKIWA NA WAZAZI WAKE, KATIKATI NI BABA YAKE AMBAYE PIA NI MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA, MZEE PHILIP MANGULA.
 
Masikini kuna wakati Michuzi alimwandikia makala d.news.
 
imesikitisha sana amekufa usiku wa harusi ya kaka yake harusi imegeuka msiba so sad
R.I.P shemeji yangu mpendwa
 
Poleni sana wafiwa, nimesikia redioni mtu akielezea, walicheza nae mzuki cku ya sendoff ya wifi yake, nguo yake ikachanika bahati mbaya akaanga anakwenda badili nguo atarudi, ndio njiani akapata ajali

Mungu amrehemu
 
Poleni sana wafiwa, nimesikia redioni mtu akielezea, walicheza nae mzuki cku ya sendoff ya wifi yake, nguo yake ikachanika bahati mbaya akaanga anakwenda badili nguo atarudi, ndio njiani akapata ajali

Mungu amrehemu

Nguo yake ilikuaje ikachanika?RIP
 
habari zilizopo ni kuwa Mzee Philip Mangula,M/kiti msaidizi wa CCM Tz Bara amefiwa na mwanae wa kike ajulikanaye kwa jina la Nemela Mangula.
Kifo cha binti huyo kimetokana na ajali ya gari aliyoipata wakati akivuka barabara kuhudhuria tukio la Send off...
Nemela ni binti mdogo wa Mangula,amepoteza maisha akiwa bado ni mdogo sana kiumri,msiba upo maeneo ya O'bay karibu na Maeneo ya Diplomatic Shop.
Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema Peponi
 
Very sad Kaka yake alikuwa anaoa jana, ilifanyika binti akiwa ICU akafariki after alivuja damu ndani. ni baada ya send-off iliyokuwa ya kaka anamuoa bibi harusi. i

Alikuwa mkubwa anafanya kazi, na alisha hata graduate, alisoma uni za Cardiff.

Mungu amlaze pema peponi.
 
Daaaah inauma sana. Madereva inabidi tuwe makini sana na watembea kwa miguu maana sote tuna haki sawa katika matumizi ya barabara.

RIP Nemala.
 
Poleni familia ya wafiwa.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom