TANZIA: Mzee Hamis Chifupa afariki dunia

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Habari wanaJF,

Nimepata taarifa kuwa Mzee Hamis Chifupa, baba wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), Amina Chifupa amefariki dunia.
c7280093fafc9776499a4aac2498ef84.jpg

Pichani ni Mzee Chifupa enzo za uhai wake.

Apumzike kwa Amani.
 
Back
Top Bottom