Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Pakajimmy mm niko Arusha naomba unipe ramani ya kwenye msiba! au unipm namba yako nikupigie unielekeze mkuu, kiukweli roho imeniuma sana! maana leo yeye kesho sisi!
Kiongozi,
Tuko pamoja. Usijali kesho ntakupa maelekezo sahihi kbsa jinc ya kufika msibani.
Nakushukuru sn kwa moyo wako wa upendo na kujali.
Tutaonana huko kwake Kijenge kesho.
 
poleni wafiwa na wana jf ... hii ndiyo njia halali na stahiki ya maisha ya binadamu .... kila mtu ajitambue na kujitayarisha kuyaonja mauti kwa tumaini la baadaye

rip wasaimon ... Almighty God loves you more
 
Mungu awafariji wote,poleni sana!Wafu wamepumzika,ila sisi tulio hai tunajua hakika kuwa tutakufa!!
 
Mungu awafariji wote,poleni sana!Wafu wamepumzika,ila sisi tulio hai tunajua hakika kuwa tutakufa!!
Mkuu
Umeongea ukweli unaopitiliza viwango na ambao wengi HATUPENDI KUUSIKIA.
Ole wangu mimi.
Ole wake hiyo siku itakayoamua kuniondoa mimi ,maana italaumiwa na kuliliwa daima.
 
r.ip wasaimon daima tutakumbuka yale yote mema uliyo ya tenda pumzika kwa amani.amin
 
Dah, poleni sana. Mi nachoka kabisa na vifo vya ujana. Nani atawazika wazee wetu? Mungu ampe nguvu huyo dada mjane!
 
Poleni sana ndugu, jamaa na marafiki hasa mkewae na watoto pamoja na jf members wote.
 
Back
Top Bottom