TANZIA: Mwana JF amefariki dunia

TANZIA: Mwana JF amefariki dunia

nimesoma post yake mungu alionesha kifo chake zamaaaani. alikuwa na mchumba katika hatua za kufunga ndoa mamamzazi wa mwanaume akawa anapinga akidai kuwa kila akimuomba mungu kwaajili ya suala hilo aliona Giza! pia mama huyo alisema kuwa kama wataoana miaka mitatu ijayo ndoa yao itakuwa imevunjika. RIP kanjunju dada etu mungu alionesha
 
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
 
Amezikwa huku huku SONGEA? UNGETUPA TAARIFA MAPEMA ZAIDI TUNGEENDA HATA KUMZIKA NDUGU YETU.
RIP NDUGU
 
mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi member mwenzetu KANJUNJU.
 
Back
Top Bottom