Allaah give him tathabbut with qaulit-thaabitInnaLillah Waina Ilayhi Rajiun! - Sisi sote ni wa Mungu na kwake tutarejea!.
Mfumo wa uongozi wa kikristo au wkristo ni tofauti na wa waislam, wakristo wana mfumo ambao uko wazi,waislam hawana, kila mtu ni mkuu, kila shehe mwenye msikiti wake ni mkuu, kwautaratibu huo kutakua hakuna msemaji rasmi wa waislam, kila mtu ni msemaji.
Ikaundwa bakwata kama msemaji rasmi wa waislam Tanzania. Kwa hiyo wastaarabu tunamtambua mufti kama mkuu wa waislam wote Tanzania,yeye ndie anawawakilisha mawazo au maoni ya waislam wote
Ukimya wake na utaratibu wa kusuruhisha mambo ilikuwa ni nguzo kwa waislamu na wapenda amani. Bila shaka Mungu atawainulia kiongozi mwingine wa aina yake.
Kwa sababu sio kiongozi wetu wa kiimani, tunamuheshimu kwa sababuhivi kwanini hamumtambui Mufti kiongozi wenu wa Iman