MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 761
Kisheria anatambulika kama mkuu wa waislam wote Tanzania, uwe unamkubali au humkubali yeye ndie kiongozi mkuu wa waislam wote Tanzania.
Hakuna mwingine anaetambulika kisheria kama kiongozi wa waislam.
Hujakosea huyo atakua hajitambui. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU PEMA PEPONI. Poleni sana waislamu.