Kwa sababu sio kiongozi wetu wa kiimani, tunamuheshimu kwa sababu
kwa wale walioko chini ya BAKWATA huyo ndiye kiongozi wao.
hivi kwanini hamumtambui Mufti kiongozi wenu wa Iman
waislamu na uislam wao bhana...yaan ni manung'uniko na fujo kila mahal, dunia nzima. huwez kuta hawa jamaa wameridhika. mara hawa wameteka msikikiti, mara wale hawamtaki shekhe mkuu, yaan ni shaghalabalhaBakwata ni Ukafiri
Mbona kwake hapa Shinyanga Hamna dalili Ya msiba?
Ninapenda kuungana na Waislam wote walioguswa na Msiba huu mzito.
Aidha, wakati tunaomboleza na kutafakari jinsi ya kumuenzi, ni vema mwenye CV yake atuletee hapa jukwaani.
Tunapoamua kumuenzi tujue tunamuenzi mtu wa hali ipi? Amesomaje? Ana level ipi ya ilim dunia.