TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

Duh, Simba katutoka... Roho ya marehemu ilale mahali pema peponi, Amina!
 
Muda mfupi uliopita nimepata taarifa kuwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu nchini Tanzania Mufti Issa Bin Shaaban Simba amefariki dunia.

Hakika ni majonzi na pigo kubwa kwa Waislam na watanzania kwa ujumla. Amezaliwa Shaaban na ameondoka ndani ya mwezi wa Shaaban,Innalilah wainailah Rajiun.

Mwenyezi mungu ampe kauli thabiti na amjaalie pepo ya kheri na kumsamehe madhambi yake.

The Grand Muft of Tanzania has passed away.





Duuu,kama ni kweli tunamuombea apumzishwe mahala Pena peponi,ameeen
 
Muda mfupi uliopita nimepata taarifa kuwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu nchini Tanzania Mufti Issa Bin Shaaban Simba amefariki dunia.

Hakika ni majonzi na pigo kubwa kwa Waislam na watanzania kwa ujumla. Amezaliwa Shaaban na ameondoka ndani ya mwezi wa Shaaban,Innalilah wainailah Rajiun.

Mwenyezi mungu ampe kauli thabiti na amjaalie pepo ya kheri na kumsamehe madhambi yake.

The Grand Muft of Tanzania has passed away.





RIP Mufti
 
RIP Mufti Simba
Poleni familia.
Poleni Waislamu wote
Poleni viongozi wa Bakwata

NB: Tuepuke mizaha na kejeli za kidini kwenye misiba na hasa comments za kumdhalilisha marehemu huko ni kuifadhaisha familia yake.
 
Back
Top Bottom