TANZIA: Mshtuko wa Ghafla

TANZIA: Mshtuko wa Ghafla

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,589
Habarini mabestito

Nimepokea taarifa ya mshtuko wa ghafla wa msiba ambao sijautegemea
muda si mrefu, nimeshindwa kustahimili wapendwa wangu naitaji maombi yenu.

Mwenzenu Nimeondokewa na Shangazi yangu anayeishi Morogoro hivyo
niko kwenye maandalizi ya kwenda huko. Bwana ametoa na ametwaa
Jina lake lihimidiwe.


Ladyf
 
Pole kwa hilo mpenzi .
Sisi wote ni wa Mungu na marejeo ni kwake .
R . I . P the deceased .
 
Habarini mabestito

Nimepokea taarifa ya mshtuko wa ghafla wa msiba ambao sijautegemea
muda si mrefu, nimeshindwa kustahimili wapendwa wangu naitaji maombi yenu.

Mwenzenu Nimeondokewa na Shangazi yangu anayeishi Morogoro hivyo
niko kwenye maandalizi ya kwenda huko. Bwana ametoa na ametwaa
Jina lake lihimidiwe.


Ladyf

pole sana mpendwa!

MUNGU akutie nguvu!

kumbuka kuwa kifo ni sehemu ya majaribu,

usihuzunike sana mpaka ukakufuru.
 
Pole sana ladyfurahia

Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu ulichonacho
 
Last edited by a moderator:
Am with u katika kipindi dhiki kigumu cha kuondokewa na shangazi yako, pole sana
 
Pole sana dada yangu!
Mungu kafanya kazi yake...jina la bwana lihimidiwe.
RIP Shangazi yetu.
 
Habarini mabestito

Nimepokea taarifa ya mshtuko wa ghafla wa msiba ambao sijautegemea
muda si mrefu, nimeshindwa kustahimili wapendwa wangu naitaji maombi yenu.

Mwenzenu Nimeondokewa na Shangazi yangu anayeishi Morogoro hivyo
niko kwenye maandalizi ya kwenda huko. Bwana ametoa na ametwaa
Jina lake lihimidiwe.


Ladyf

Pole sana. na shangazi apumzike kwa amani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom