Kama kweli RIP ila nina mashaka kesho anaweza akakanusha yy mwenyewe
Ya kweli hii kitu?Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi, Banza Stone amefariki dunia leo hii Ijumaa. Ramadhani Masanja amefikwa na umauti kutokana na kuandamwa muda mrefu na magonjwa.