O Odili JF-Expert Member Feb 8, 2015 1,765 1,379 Jul 19, 2015 #181 Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi, aamina.
Justin Dimee JF-Expert Member Apr 17, 2012 1,146 248 Jul 19, 2015 #182 fungus ya kichwa jamani magonjwa mengine ni hatari tupu dah. apumzike kwa amani msani wetu.
M MINOCYCLINE JF-Expert Member Apr 2, 2015 8,011 16,748 Jul 19, 2015 #183 Domy said: Mara nyingi huwapata wenye maambukizi ya VVU. Click to expand... kwahiyo unataka kusemaje mkuu? nyoosha maneno mbona unazunguka zunguka tu?
Domy said: Mara nyingi huwapata wenye maambukizi ya VVU. Click to expand... kwahiyo unataka kusemaje mkuu? nyoosha maneno mbona unazunguka zunguka tu?
Mzito Kabwela JF-Expert Member Nov 28, 2009 18,858 7,620 Jul 19, 2015 #184 Inlalilahi wa inlailaihi rajiuun