Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Mmiliki ni Ben a.k.a Bakari
Hahaha Maji aliyopewa lumumbaPoleni sana wafiwa Shigongo kilichomponesha ni maji mengi ya kunywa
Swadaktaaaa! Hapo pigia mstari!Binafsi hii hotel nilishafika pale mara mbili. Kuna Band huwa inapiga live pale inaitwa NAF BAND. Kwa maelezo ya mtoa mada huyo aliyefariki hawezi kuwa mmiliki wa hiyo hoteli. NAF BAND wakiwa wanapiga mwanzo mwisho wanamsifia aliyekuwa mbunge wa mtama. Ndipo nilipouliza kumbe ndio mmiliki wa NAF HOTEL
Umeona Mkuu..yaani hata mahali alikofarikia kadanganya..marehemu amefariki akiwa mjini Lindi na sio India na hapo ndio tunapoanza kuona huyu jamaa kaongeza chumvi kwenye taarifa yake na kuifanya iwe na chembe chembe za kisiasa.Siasa kwenye kila kitu! Taarifa ya msiba alafu inapigwa na polish ya "masimango" ya kisiasa kwa mbaaali ....Ama kweli uchawi una maana pana sana ..
We Bawacha hivi Lindi ndio India?Mmiliki wa Hoteli ya Kifahari mjini Mtwara (NAF) Ndg. Shebby amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko India alikoenda kutibiwa kutokana na maradhi ya moyo. Walio kuwa karibu na Ndg. Shebby wanadai kwamba siku za hapa karibuni.
Bwana Shebby alikuwa na msongo wa mawazo akilalamika madeni kuongezeka kutokana na kukosa wateja katika biashara yake ya hoteli.
Hoteli nyingi Mtwara zilitegemea sana wageni katika makampuni ya gesi ambao tangu mwaka jana wameondoka nchini na kuridi makwao.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
Amina..
Hivi hii hoteli ni ya yule Waziri aliyenyonya $20 m za kiwanda cha saruji au ya Shabby?Gone too soon...!!!RIP Shebby
Kwahiyo papa msoffe ni mmiliki wa ngwasuma kwavile wanamuimba sana? Hiyo hotel ni ya membe nishafanya kazi. Mwaka 2008 NA tuliifungua sie.... hapoSwadaktaaaa! Hapo pigia mstari!
BenHivi hii hoteli ni ya yule Waziri aliyenyonya $20 m za kiwanda cha saruji au ya Shabby?
Buji unatafuta chuo cha kusomea kozi ya uchochezi? Jioni nitakua ile mitaa karibu na mawinguHivi hii hoteli ni ya yule Waziri aliyenyonya $20 m za kiwanda cha saruji au ya Shabby?
Umekosa! Mango pickle
ntakuja.Buji unatafuta chuo cha kusomea kozi ya uchochezi? Jioni nitakua ile mitaa karibu na mawingu
Hahaha aahntakuja.
Si unajua tena mi ndio Ras Nyoka mwenyewe [imoji22200]
Yaani jamiiforum siku hizi imegeuka kuwa kilinge cha uwongo!!Msituletee za kuleta, mmiliki wa hii hotel hajafa. Tunamjua vizuri sana labda useme aliyetoa hela zilizotumika kujenga hii hotel alifariki siku nyingi alikuwa ni rais wa kuwait.