TANZIA: Mmiliki wa NAF Hotel Mtwara afariki dunia

Hahha mimi nilikua nakaa karibia na shamba la mkuu wa mkuu kwenye zile nyumba 5 zilizokua kwenye fensi,pembeni kuna transfoma nasikia dr shomari kajenga pale,nilihama MT mwaka 2002.Kipindi hiko shebby ndo kaamia kwenye nyumba yake alojenga chapchap,kipindi hicho matajiri walikua akina champion,shabani,paulo yule aliyeoa mtoto wa mzungu.

Nakumbuka velani sana.nakumbuka pweza na ngis nilikua napika mwenyewe.
Kwa Limo Motel,Litingi.daaaah i miss mtwara asee

We ulikua unakaa wap mkuu?
maeneo nayapata sana hayo,hahahaha mi maeneo ya kujidai ukinyoisha na ile barabara kama unaenda "Chuno" maeneo ya kwa lipwelele kule(ngoja nisitaje nyumba wala au jina la mshua maana jamaa wa sentero wanatutafuta kwa udi na uvumba,wameanza na max mello) sasa hivi ukienda mtwara kumekucha hasa hasa unaweza kuzunguka mji wote usikanyage udongo full lami.
 
Mmiliki wa Hoteli ya kifahari mjini Mtwara (NAF) Ndg. Shebby amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko India alikoenda kutibiwa kutokana na maradhi ya moyo. Waliokuwa karibu na Ndg. Shebby wanadai kwamba siku za hapa karibuni bwana Shebby alikuwa na msongo wa mawazo akilalamika madeni kuongezeka kutokana na kukosa wateja katika biashara yake ya hoteli.

Hoteli nyingi Mtwara zilitegemea sana wageni katika makampuni ya gesi ambapo tangu mwaka jana wameondoka nchini na kurudi makwao.

Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.

Amina.

==================
Habari Zaidi
==================
Serikali ya nanii inahusika, ndiyo iliyokimbiza wawekezaji.
 
Back
Top Bottom