Pole kwa wafiwa.
Sijui Shigongo ashapoozwa..
Isije tukampoteza nae.
Kuna hoteli mwanza inapigwa mnada.
Hiyo sio siasa bali ameeleza kisababishi cha kifo mkuuSiasa kwenye kila kitu! Taarifa ya msiba alafu inapigwa na polish ya "masimango" ya kisiasa kwa mbaaali ....Ama kweli uchawi una maana pana sana ..
Kwa mwendo huu tutapoteza wengi sana, RIP Mr ShabyMmiliki wa Hoteli ya Kifahari mjini Mtwara (NAF) Ndg. Shebby amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko India alikoenda kutibiwa kutokana na maradhi ya moyo. Walio kuwa karibu na Ndg. Shebby wanadai kwamba siku za hapa karibuni.
Bwana Shebby alikuwa na msongo wa mawazo akilalamika madeni kuongezeka kutokana na kukosa wateja katika biashara yake ya hoteli.
Hoteli nyingi Mtwara zilitegemea sana wageni katika makampuni ya gesi ambao tangu mwaka jana wameondoka nchini na kuridi makwao.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
Amina..