J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,505
Kaacha watoto saba.wawili kati ya hao wanasoma UK.Kaacha watoto wangap?
Duc in Altum
Kaacha watoto saba.wawili kati ya hao wanasoma UK.Kaacha watoto wangap?
wa UK hawajaja kuzika? Duh inauma sanaKaacha watoto saba.wawili kati ya hao wanasoma UK.
Duc in Altum
Tupatie angalau picha 2, 3 basiKaacha watoto saba.wawili kati ya hao wanasoma UK.
Duc in Altum
sio mpare huyu ndugu...... anaitwa steven temba.. wacha kukaririkumbe wachawi wanakufaga poleni wapare kwa kufiwa n.a. kibosile wenuuu
sio mpare huyu ndugu...... anaitwa steven temba.. wacha kukaririkumbe wachawi wanakufaga poleni wapare kwa kufiwa n.a. kibosile wenuuu
Kuna tatizo gani?Kuangalia kiwanja 2.30 usiku
kila kifo kina sababuMbona naskia jamaa alikua anaongeq na simu maongezi yaliponoga kwa baati mbaya kajikuta anaingia mpaka bara ba ra ni bila kujua.
Pia ni mmiliki wa Vituo vyote vya mafuta vya TOTAL kanda hii ya kaskazini
Usihofu mleta mada, picha ya namba ya gari tumeshaiwasilisha
Mana dereva aligeuza gari kuona amegonga, alipofika eneo la tukio akakuta jamaa kafariki
hivyo akawasha gari akakimbia, kumbe watu washapiga picha namba za gari yake
Acha upuuzi huyu ni mpare tena Msoffe.sio mpare huyu ndugu...... anaitwa steven temba.. wacha kukariri
hapana bwana usinitukane nakwambia ukweli huyu ni mtu wa uru beleave meAcha upuuzi huyu ni mpare tena Msoffe.
Duc in Altum
naomba kusahihisha ni dealer wa vituo vyote vya mafuta kilimanjaro na sio mmiliki
Ana mabinti wawili. Kama ni kitambo sana itakuwa ulisoma na yule mkubwa. Pole zao kwa kufiwa na babaNi yeye dada, nilisoma na binti yake mmoja. Ni siku nyingi sana.