Ni kweli Kiongozi itasaidia kuondoa taharuki,kwani kutokuwepo kwa jakwaa lake kunachangia wanachangiaji kudhani /kuhisi vifo hivyo vinasababishwa na CVD19.Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Maxence Melo
Changamoto ya kupumua
Mkuu dah si ulituaga unaenda kijijini hamna networkR.i.P Professor
Vyovyote sahihi..Hajafa kwa corona, ila najua kuna watu watalazimisha