Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,610
- 2,168
Meneja wa Tanroad mkoa wa Ruvuma, mhandisi Mlima Ngaile amefariki asubuhi ya leo baada ya kuanguka ghafla wakati akifanya mazoezi ya kukimbia maarufu kama marathon Songea mjini!
Baada ya kuanguka alikimbizwa hospitali ya mkoa wa Ruvuma na kufariki muda mchache baada ya kufikishwa hospitalini!
Taarifa kamili zitawekwa hapa na wahusika. Chanzo mdau aliekuwa kwenye mazoezi pamoja na marehemu!
R.I.P
Baada ya kuanguka alikimbizwa hospitali ya mkoa wa Ruvuma na kufariki muda mchache baada ya kufikishwa hospitalini!
Taarifa kamili zitawekwa hapa na wahusika. Chanzo mdau aliekuwa kwenye mazoezi pamoja na marehemu!
R.I.P