Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Habari za muda huu waungwana? Nimepokea taarifa asubuhi hii kuwa member wenzetu Madame B na Kijino wamefiwa na baba yao Mzee George William Shemndolwa.
Taarifa niliyoipata toka kwa Madame B mwenyewe inafafanua zaidi kuwa Mzee alikuwa anaumwa. Amefariki asubuhi ya leo tarehe 25-10-2012..
Msiba upo Chama, Mbezi Mwisho{Ya Kimara}. Ni njia ya kuelekea Maramba Mawili..
Mipango ya mazishi inaendelea sasa hivi eneo ambalo msiba upo{Chama. Njia ya kwenda Maramba Mawili} taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia kadri ambavyo itakuwa imepangwa.
Wana JF tuungane pamoja katika kipindi hichi kumfariji wenzetu{Wafiwa} kwa kuwapa Moyo na kuwaombea faraja na nguvu toka kwa Mungu.
Kwa taarifa na maelezo zaidi jinsi ya kufika eneo la tukio{Kwa wale watakaohitaji kwenda msibani} piga namba hii ya 0716394882.
Habari za muda huu waungwana? Nimepokea taarifa asubuhi hii kuwa member wenzetu Madame B na Kijino wamefiwa na baba yao Mzee George William Shemndolwa. Ni Afisa Kodi Mamlaka ya Mapato {TRA} Musoma Mjini Mkoani Mara.
Taarifa niliyoipata toka kwa Madame B mwenyewe inafafanua zaidi kuwa Mzee alikuwa anaumwa. Amefariki asubuhi ya leo tarehe 25-10-2012..
Msiba upo Chama, Mbezi Mwisho{Ya Kimara}. Ni njia ya kuelekea Maramba Mawili..
Mipango ya mazishi inaendelea sasa hivi eneo ambalo msiba upo{Chama. Njia ya kwenda Maramba Mawili} taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia kadri ambavyo itakuwa imepangwa.
Wana JF tuungane pamoja katika kipindi hichi kumfariji wenzetu{Wafiwa} kwa kuwapa Moyo na kuwaombea faraja na nguvu toka kwa Mungu.
Kwa taarifa na maelezo zaidi jinsi ya kufika eneo la tukio{Kwa wale watakaohitaji kwenda msibani} piga namba hii ya 0716394882.