ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,462
Poleni sana Madame B na Kijino mimi sikujua kabisa nimeambiwa na R jana tu jamani
Mungu awape nguvu na ujasiri katika kipindi hichi kigumu kwenu cha kuondokewa na mzazi, Mungu afanyike faraja kwa wafiwa wote na awarudishe salama dar.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jinalake lihimidiwe
Mungu awape nguvu na ujasiri katika kipindi hichi kigumu kwenu cha kuondokewa na mzazi, Mungu afanyike faraja kwa wafiwa wote na awarudishe salama dar.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jinalake lihimidiwe