Ben Mugashe
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 998
- 615
Mama wa mwenzetu KakaKiiza leo asubuhi ametwaliwa Katika Hospital ya Muhimbili; Msiba uko Nyumba Kwake; anatarajia kumpumzisha mama yake Mpendwa Bukoba; tumkumbuke katika maombi na sala watakaoweza kufika kuwapa pole familia tunatarajia kwenda Jmosi mchana tuwasiliane
Ahsante
Ben Mugashe
(Mdogo wake KakaKiiza)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante
Ben Mugashe
(Mdogo wake KakaKiiza)
Sent using Jamii Forums mobile app