TANZIA: KakaKiiza Amefiwa na Mama Yake

Poleni kwa msiba..kwa walioko daslamu mtuwakilishe jamani msibani..
 
Mama wa mwenzetu KakaKiiza leo asubuhi ametwaliwa Katika Hospital ya Muhimbili; Msiba uko Nyumba Kwake; anatarajia kumpumzisha mama yake Mpendwa Bukoba; tumkumbuke katika maombi na sala watakaoweza kufika kuwapa pole familia tunatarajia kwenda Jmosi mchana tuwasiliane

Ahsante
Ben Mugashe
(Mdogo wake KakaKiiza)

Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana kwa kuondokewa na mama mzazi

Jr
 
Back
Top Bottom