Doh, RIP Edwin. Bado namkumbuka mdogo wako Fred ambaye nae alifarik kw ajali mwaka 2010 hapa Rose garden, dsm. It was so sad, coz dogo ndo alirud tu from china kuja kufunga ndoa yake, akafa wiki moja tu kabla ya harus yake. kabla hata machungu hayajafutika kbs kw familia, mara tena anaondoka Edwin. Realy unbelievable!! Mungu awape faraja.