Miongoni mwa watu waliopata kuitangaza Tanzania vyema; baada ya kampeni ya kumtaka atuzwe na taifa lake Bi. Kidude alipewa nishani na Rais Kikwete. Tunamshukuru Mungu kwa maisha yake marefu na yenye masimulizi. Mungu aifariji familia yake, wasanii wenzake na wale wote waliompenda na ailaze roho yake pema peponi, Amin.
Asante Bi. Kidude!