TANZIA: Bi Kidude afariki dunia!

TANZIA: Bi Kidude afariki dunia!

Miongoni mwa watu waliopata kuitangaza Tanzania vyema; baada ya kampeni ya kumtaka atuzwe na taifa lake Bi. Kidude alipewa nishani na Rais Kikwete. Tunamshukuru Mungu kwa maisha yake marefu na yenye masimulizi. Mungu aifariji familia yake, wasanii wenzake na wale wote waliompenda na ailaze roho yake pema peponi, Amin.

Asante Bi. Kidude!
 
Breaking News:
Mkongwe wa Muziki hapa nchini,Bi.Kidude amefariki dunia mjini Zanzibar. Mungu amlaze mahala pema peponi, Amen!
 
Bi Kidude asante kwa kuitumikia nchi yako kizalendo bila kujali upatacho kupitia kipaji chako!

Pumzika kwa amani!
 
r.i.p bi kidude bint baraka na wapenzi wa taarabu mara ya mwisho kukuona ni ktk shindano la bibi bomba .dunia itakumis
 
Nimetumiwa sms na jamaa fulani akinijulisha eti bi kidude hatunaye tena.
Yeyote mwenye taarifa atujuze



Source: sms ya jamaa
 
RIP Bibi Kidude
Poleni familia
Poleni wapenzi wa taarabu
 
R.I.P. Bi Kidude the Great! The queen of African women singers! Personally I will miss you badly!
 
usiwe na roho ya kishetani na wewe
Nani anaejuwa wapi atakwenda Peponi au Motoni Dini zote zinastahi maiti sijui wewe uko dini gani Jaribu kuwa na staha ukiweza, usipoweza nyamaza kimya hiyo ni zaidi ya kukutia kwenye matatizo
Roast In Hell!
poleni wafiwa wote,bibi katumia miaka zaidi ya mia kumtumikia shetani!!
 
Ulifanya kazi yako vema binti wa kizanzibari uliyejaliwa sauti ya mahaba na muumba. Sasa ukapumzike kwa amani bibi yetu.
 
Back
Top Bottom