TANZIA: Bi Kidude afariki dunia!

TANZIA: Bi Kidude afariki dunia!

Dhaifu lazima atakatisha ziara ya Uholanzi kuja kwenye mazishi.
 
R.I.P Bi. Kidude. Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda Zaidi.
 
Mungu akupe ktk mema yako ziada na ktk maovu yako pungufu. Ameen
 
May her soul rest in eternal peace. She did our country proud and she shall be greatly missed. Amen.
 
Kwanini umeweka neno "rasmi"?
Kwa taarifa yako bibie huyu 'ameshafariki' mara nyingi,lakini mara tu taarifa za msiba wake zikitokea mwenyewe huja kukanusha ,this time hakuna kanusho -then "amefariki rasmi"
U.PE.PE Bint Baraka Shilingi!
 
[video=youtube;RMkLMaHWu]http://www.youtube.com/watch?feature=fvwp&v=RMkLMaHWu fo&NR=1[/video]

Tunashukuru sana kwa sanaa yako.
RIP Bi kudude.
 
Back
Top Bottom