queen matara
Member
- Apr 29, 2011
- 40
- 63
Jina lake halisi alikuwa no BENJAMIN KIKOTI. Umaarufu wake ulikuwa mkubwa Wakati wa vita yetu na Uganda. Huyo jamaa alikuwa anaripoti akiwa mstari wa mbele. RIP Kikoti
Masahihisho kidogo. Jina lake kamili lilikuwa BENJAMIN KIKOROMA. Nilikutana nae Bukoba wakati wa vita vya Kagera, na alikuwa mstati wa mbele wakati ule akiripoti mambo ya vita, akiwa anaandamana na mpiga picha wetu mashuhuri wa wakati ule marehemu VINCENT URIO.