Tanzia: Ben Kiko afariki dunia

Tanzia: Ben Kiko afariki dunia

Nashangaa huyu bwana hajapewa tuzo ya heshima na wakubwa. Alikuwa akitangaza wewe msikilizaji unajiona kama upo eneo la tukio.
 
RIP Ben Kiko!! Msalimie Michael Katembo, Marina Hassan, Julius Nyaisanga, Juma Nkhamia na shabani kissu
 
Rest In Peace mzee Ben Kiko daima tutakukumbuka,, pumzika kwa aman---
 
RIP Ben Kiko!! Msalimie Michael Katembo, Marina Hassan, Julius Nyaisanga, Juma Nkhamia na shabani kissu

kwamtoro Juma nkamia na shabani kissu bado wapo hai....

au sijaelewa ulikuwa unamaanisha nini?
 
Last edited by a moderator:
RIP Ben Kiko!! Msalimie Michael Katembo, Marina Hassan, Julius Nyaisanga, Juma Nkhamia na shabani kissu
Kwani Juma Nkamia, Marina Hassani na Shaban Kisu, hivi na hawa walishatangulia mbele ya haki!!!!!
 
Hao nao wameshakufa? Kweli taarifa nyingi zimenipita

INNOCENT CHACHA sijui mtoro katoa wapi taarifa hizi za akina juma nkamia na shaban kisu...
manake nijuavyo hawa watu wapo hai kabisa na juma nkamia nimemwona juzi kwenye maadhimisho ya sanaa na kisu pia ana kipindi chake TBC 1 cha TCRA..

Labda kama mimi nakosea
 
Last edited by a moderator:
Jina lake halisi alikuwa no BENJAMIN KIKOTI. Umaarufu wake ulikuwa mkubwa Wakati wa vita yetu na Uganda. Huyo jamaa alikuwa anaripoti akiwa mstari wa mbele. RIP Kikoti


Alikosea siku moja akasema Watanzania wanakufa sana jamaa wakamtuliza na ya mguu. Yaani badala ya kuripoti positive akawa yupo negative.

Nakumbuka sana enzi za majira saa tatu usiku RTD, nikiripoti kutoka tabora mimi ni Ben Kiko, wa RTD.

RIP Ben.
 
INNOCENT CHACHA sijui mtoro katoa wapi taarifa hizi za akina juma nkamia na shaban kisu...
manake nijuavyo hawa watu wapo hai kabisa na juma nkamia nimemwona juzi kwenye maadhimisho ya sanaa na kisu pia ana kipindi chake TBC 1 cha TCRA..

Labda kama mimi nakosea

Juma Nkamia nafikiri anatembea kivuli tu...kwani hata michango yake Bungeni ni sawa na mtu aliye RIP
 
Kwa kweli jamaa nilimhusudu sana bwana huyu kwa matangazo yake mwe! Apumzike kwa amani!
 
Back
Top Bottom