Jina lake halisi alikuwa no BENJAMIN KIKOTI. Umaarufu wake ulikuwa mkubwa Wakati wa vita yetu na Uganda. Huyo jamaa alikuwa anaripoti akiwa mstari wa mbele. RIP Kikoti
Raha ya Milele umpe ee Bwana!
Mkuu wala usihangaike!hata hao wazamani walikuwa hawamwoni,wanamjua kwa sauti tu,au labda kama alishawahi kufanya kazi TVZ(now ZBC)weka picha basiii,wengine dot com jamaani
mie nimezaliwa wakati wa TBC hiyo RTD sikuwepo
RIP kiko
Jina lake halisi alikuwa no BENJAMIN KIKOTI. Umaarufu wake ulikuwa mkubwa Wakati wa vita yetu na Uganda. Huyo jamaa alikuwa anaripoti akiwa mstari wa mbele. RIP Kikoti
Hapana alikuwa anaitwa Bernard Kikoloma.alale pema.Jina lake halisi alikuwa no BENJAMIN KIKOTI. Umaarufu wake ulikuwa mkubwa Wakati wa vita yetu na Uganda. Huyo jamaa alikuwa anaripoti akiwa mstari wa mbele. RIP Kikoti
Nashukuru kwa kunikumbusah majina haya wakati huo niko Primary school miaka ya 47. Lakini siku nyingine yaandike vizuri kwa kuanza na herufi kubwa kwa jina kama hivi Jacob Tesha Paul, Karim Besta, Ahmed Kipozi, Sala (Sarah ?) Dumba, n.k.Namkumbuka ben kiko enzi hz rtd, ilikuwa rtd kweli,siyo hawa wahuni wa sk hz,ben akisoma habari ya majanga au maafa mwili unakusisimka, waandishi ninaowakumbuka ni situnga steven, jacob tesha paul, karim besta,ahmed kipozi,sala dumba,malima ndelema kipindi chake cha mkoa kwa mkoa,bujaga kizengo kadago,