Kwa hali ilivyo ndugu zangu kila mtu kwa imani yake na kwa kadri anavyoweza ni kuhakikisha CCM inaondoka madarakani si zaidi ya 2015 vinginevyo tutakwisha. Kwenye ripoti hiyo bado kuna suala la deni la taifa kuongezeka kwa zaidi ya 30% kwa mwaka mmoja wa fedha, jamani hizo hela zote zinaenda wapui? hakuna nchi inayoendeshwa bila kukopa sawa, lakini ukikopa unapeleka wapi? hatuoni viweanda vikifufuliwa, hakluna uwekezaji wa amaana kwenye nishati, kila siku ngeleja na megawati, kama deni linjaongezeka kwa kununulia mashangingi, jamani kuendelea na CCM tunachimbia kaburi tukiwa hai. Suala la ukwapuaji na matumizi ya hovyo hakuna namna ambayo CCM watakwepa hii ni swerikali ya chama chao na rais ndiyo mwenyekiti wa chama, hivi CCM mnatupeleka wapi?
Ee mola tusaidie mbinu za namna ya kuiondoa CCM ibaki chama cha upinzani tu isife.