Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Aliyeapishwa ni shujaa Nassari, japo wafuasi wake wengi wamezuiliwa kuingia humu mjengoni, kumbe ile sare ya Chadema ni marufuku bungeni!.
Baadae leo nitahudhuria tafrija ya bkumpongeza Nasari, nitaiwakilisha jf!
Si mikusanyiko yote ya kisiasa imepigwa marufuku na Dr Nchimbi? au tafrija siyo mkusanyiko?