Tanzanians to witness Solar Eclipse Spectacle on Sunday

Tanzanians to witness Solar Eclipse Spectacle on Sunday

Mbona hamsemi saa ngapi? Kwa huku East Africa?

Nilivyouona uzi huu nikagoogle kujua mambo hayo. Kwa ufupi ni saa nane hivi hapa EAT, kwa Dar na Tanzania kwa ujumla imeandikwa ni Partial Solar Eclipse, kwa maana ni kiasi kidogo na yawezekana mtu usihisi chochote. Ila Uganda kuna baadhi ya maeneo watapata Total Solar Eclipse, wakati ambapo Ghana na Ivory Coast watapata Maximum Total Solar Eclipse giza kabisa, hali hiyo ya maximum itashuhudiwa kwa muda wa dakika1 na Sekunde39.
 
Nilivyouona uzi huu nikagoogle kujua mambo hayo. Kwa ufupi ni saa nane hivi hapa EAT, kwa Dar na Tanzania kwa ujumla imeandikwa ni Partial Solar Eclipse, kwa maana ni kiasi kidogo na yawezekana mtu usihisi chochote. Ila Uganda kuna baadhi ya maeneo watapata Total Solar Eclipse, wakati ambapo Ghana na Ivory Coast watapata Maximum Total Solar Eclipse giza kabisa, hali hiyo ya maximum itashuhudiwa kwa muda wa dakika1 na Sekunde39.

Daa partial eclipse ni mbaya sana kuangalia kwa macho!! Nlijua kutakuwa totorooooo giza kumbe kidogo tu..
 
muda tuliambiwa 02:05 pm miwani maalumu sina na beseni la kuwekea maji sina itabidi nisiliangalie tu ntafuatulia changes za mwanga tu.

nakimbilia ferry..samaki wengi kesho...ni kawaida likipatwa jua samaki wanachanganyikiwa na kuja juu hivyo kesho..samaki kama taka taka wachuuzi wasitugonge tena
 
Exciting...ulifurah sana..nataman na mie nione
Kuna wakati fulani nilishawahi kushuhudia "Total Solar Eclipse" na so far it's the longest in the history...aisee ni kitu kizuri sana na hadi leo ninazo picha zake.

Giza liliingia ghafla na wale wadudu waliao usiku ghafla wakaanza kupiga kelele, mfumo wa upepo ukabadilika na hali ya kibaridi kama kile cha usiku ikatamalaki.
 
Kuna wakati fulani nilishawahi kushuhudia "Total Solar Eclipse" na so far it's the longest in the history...aisee ni kitu kizuri sana na hadi leo ninazo picha zake.

Giza liliingia ghafla na wale wadudu waliao usiku ghafla wakaanza kupiga kelele, mfumo wa upepo ukabadilika na hali ya kibaridi kama kile cha usiku ikatamalaki.
Aiseeeee!!
 
Miwani ya rangi nyeusi haifai kutazamia hilo jua litakapopatwa, mwenye idea atujuze tafadhali tusije pofuka bure aisee!
 
Wale wanaofata mwezi kufunga imekula kwao. Mi nadhani ilikuaga ivo sababu technologia haikuwepo kipindi icho.

Tusiendelee kudanganyana eti sikukuu inategemea mwandamo wa mwezi wakati kila kitu kipo online.
 
Hii ni kwa watu wlioko Dar pekee au hata wale wa mwisho wa reli wataona hiyo kitu???
 
Wale wanaofata mwezi kufunga imekula kwao. Mi nadhani ilikuaga ivo sababu technologia haikuwepo kipindi icho.

Tusiendelee kudanganyana eti sikukuu inategemea mwandamo wa mwezi wakati kila kitu kipo online.

Ohooo... N'jomba unatafuta ugomvi na watu... Ngoja wenyewe wakusikie
 
Uku kwetu sijui ndo tayar!manake naona mawingu na giza tu
 
Mbona hamsemi saa ngapi? Kwa huku East Africa?

Nilivyouona uzi huu nikagoogle kujua mambo hayo. Kwa ufupi ni saa nane hivi hapa EAT, kwa Dar na Tanzania kwa ujumla imeandikwa ni Partial Solar Eclipse, kwa maana ni kiasi kidogo na yawezekana mtu usihisi chochote. Ila Uganda kuna baadhi ya maeneo watapata Total Solar Eclipse, wakati ambapo Ghana na Ivory Coast watapata Maximum Total Solar Eclipse giza kabisa, hali hiyo ya maximum itashuhudiwa kwa muda wa dakika1 na Sekunde39.
 
Back
Top Bottom