Tanzanians to witness Solar Eclipse Spectacle on Sunday

Tanzanians to witness Solar Eclipse Spectacle on Sunday

Muda tuliambiwa 02:05 pm miwani maalumu sina na beseni la kuwekea maji sina itabidi nisiliangalie tu ntafuatulia changes za mwanga tu.
 
He! Sayansi kweli ngumu.
Kwa hiyo waliosema kuna matukio mawili tofauti yaani Solar eclipse na
Lunar eclipse ni wajinga.

Solar eclipse, Lunar eclipse inahusisha vitu vitatu, jua,mwezi na dunia. Dunia inapokuwa kati ya mwezi na jua hivo kuziba mwangaza wa jua usifikie mwezi hapo tunashuhudia lunar eclipse.(mwezi hauzalishi mwangaza kama jua) Leo hii mwezi utakuwepo kati ya jua na dunia hivo kuziba mwangaza wa jua kutufikia hii ndio solar eclipse. Hali ya hewa hapa nilipo mawingu kibao -damn!
 
Napata ugumu kidogo, ukianzia ile picha ya kwanza kabisa inaelezea Jua Kupatwa (Solar Eclipse), ukishuka kwenye maelezo ya chini yanaelezea mwezi kupatwa(Lunar Eclipse), ukiendelea kwenye description zilizoandikwa kwa Kiingeleza ni kama zinaonyesha Jua ndo litapatwa (Solar Eclipse) na sio mwezi kupatwa (Lunar Eclipse),hasa kwenye hicho kipengele kinachosema the moon will move in front of the sun, maana yake ni kwamba jua ndo litapatwa, so clarify mkuu . pia naomba kujua muda ili na mimi niji-adjust kwa masaa ya Africa Maharishi nisije nikasubiri mwezi kupatwa usiku kumbe ni jua kupatwa mchana

heshima mbele

hivi unaweza kuona kupatwa kwa mwezi(lunr eclipse) ukiwa kwenye dunia?
 
He! Sayansi kweli ngumu.
Kwa hiyo waliosema kuna matukio mawili tofauti yaani Solar eclipse na
Lunar eclipse ni wajinga.
Sayansi ni kweli ngumu na Wana-Sayansi wanabahatisha mambo mengine hawasemi ukweli Mwezi ndio utakao kamatwa na jua sio jua kukamatwa na mwezi ( Lunar eclipse) Siku Jua likikamatwa na mwezi ndio itakuwa siku ya Kiama siku ya ufufuo au siku ya hukumu kwa imani za dini.
 
Unaokamatwa siku zote ni Mwezi Sio jua Kiswahili fasaha Mwezi kukamatwa na Jua. Na Sio jua kukamatwa na mwezi.

Kuna kupatwa kwa mwezi (lunar eclipse) na kupatwa kwa jua (solar eclipse). Kinachotokea kesho ni kupatwa kwa jua kwa kuwa mwezi utaweka zuio kwenye mwanga wa jua kwa muda fulani. Kupatwa kwa mwezi ni kuwa dunia huwa katikati na hivyo kufanya mwana wa jua usifikie mwezi, kwa hivyo mwezi unakuwa hauonekani kwa muda.
 
He! Sayansi kweli ngumu.
Kwa hiyo waliosema kuna matukio mawili tofauti yaani Solar eclipse na
Lunar eclipse ni wajinga.

asanteeeee... mtu ana comment kwa kujiamini utasema kweli.
 
Sayansi ni kweli ngumu na Wana-Sayansi wanabahatisha mambo mengine hawasemi ukweli Mwezi ndio utakao kamatwa na jua sio jua kukamatwa na mwezi ( Lunar eclipse) Siku Jua likikamatwa na mwezi ndio itakuwa siku ya Kiama siku ya ufufuo au siku ya hukumu kwa imani za dini.

ndugu mzizi, wala sio kukamatwa, ni kupatwa. kwa hiyo wewe unajua zaidi kuliko wana sayansi?
 
Sayansi ni kweli ngumu na Wana-Sayansi wanabahatisha mambo mengine hawasemi ukweli Mwezi ndio utakao kamatwa na jua sio jua kukamatwa na mwezi ( Lunar eclipse) Siku Jua likikamatwa na mwezi ndio itakuwa siku ya Kiama siku ya ufufuo au siku ya hukumu kwa imani za dini.

leo ni kupatwa kwa jua....au solar eclipse.:....yani mwanga wa jua haufiki part fulani ya dunia kwasababu mwezi uko katikati ya jua na dunia....sioni ugumu hapo....
 
Back
Top Bottom