Napata ugumu kidogo, ukianzia ile picha ya kwanza kabisa inaelezea Jua Kupatwa (Solar Eclipse), ukishuka kwenye maelezo ya chini yanaelezea mwezi kupatwa(Lunar Eclipse), ukiendelea kwenye description zilizoandikwa kwa Kiingeleza ni kama zinaonyesha Jua ndo litapatwa (Solar Eclipse) na sio mwezi kupatwa (Lunar Eclipse),hasa kwenye hicho kipengele kinachosema the moon will move in front of the sun, maana yake ni kwamba jua ndo litapatwa, so clarify mkuu . pia naomba kujua muda ili na mimi niji-adjust kwa masaa ya Africa Maharishi nisije nikasubiri mwezi kupatwa usiku kumbe ni jua kupatwa mchana
heshima mbele