Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,628
mmmmh tupo harusini jamaniIgnorant fool
mmmmh tupo harusini jamaniIgnorant fool
ahaaaa utasutwa wewe ila kile kicheko picha ya kwanza is it real!...au swaga za huko kwa boksi maana huku bongo kwenye kuapishwa mmmmh
![]()
Hapana, sijawahi hudhuria multicultural wedding yoyote ile, zangu ni za huku uswahilini kwetu. Niliuliza vile kwa sababu articel inaongelea Afrocentric & Afro-Caribbean traditions wakati picha ni kinyume chake ukiachilia majani makavu ya migomba katika kikapu na neckties za vitenge.
Japo kuna mtu (m-TZ anaishi ughaibuni yuko 39 na hajaoa, was shocked ofcourse nikamwambia, "are u sick" na alichukia ujue....) aliniambia haelewi kwanini wabongo wanaoa mapema akitolea mfano kina Jay Z umri wake na wa mtoto wake means kachelewa kuoa, Obama umri wake na umri wa watoto wake means kachelewa kuoa sasa huyu anayeishi ughaibuni mbona kaoa yanky kabisa?
Kuoa ni suala binafsi.
ahaaaa huku kwetu ndo zetu hakuna cha kucheka ...ucheke nini honeymoon yenyewe bwana anenda kulala kwa hawara?Mwenzangu mwanamke kusutwa sunna atii heheheheee, kile kicheko cha ukweli mambo ya kidhungu hapo jamaa (mTZ/mMALAWI) alikuwa anasoma vows kwa bibi harusi wake ndo maana bibie kacheka hadi mwisho ukute aliambiwa ukizaa mtoto wa kike kwanza ntamlea kama mama yaani kumlisha, kumuogesha, kumbadili pampas n.k kitu amacho nadra kufanywa na wabongo.
Sasa hiyo ndoa ya kwetu hapo kwanza bibie kanuna na bwanaharusi anasonya kabisa kama si kung'ong'a yaani hapo kama wamelazimishwa au sijui ndoa ya mkeka hahahahaaaa
Smile njoo umwone huyu...ati huwezi kumpata?Halafu watu watakandya kubeba box.
Ladies ukimshika mbeba box anayepiga "box" metaphorically mpango mzima ndo kama huu na hata zaidi.
Ila mimi hawanipati ng'o.
ahaaaa huku kwetu ndo zetu hakuna cha kucheka ...ucheke nini honeymoon yenyewe bwana anenda kulala kwa hawara?
miaka 39 anategemea kuja kumuoa nani? tena ashindwe khaa! hata mayai yatakuwa yameisha huko!
hahahaaaa we achaa tuu mie nilibaki nashangaa nikasema huyu umagharibi umeshamuathiri ila nilimuudhi zaidi nilipomwambia au si rizki?(gay) maana nikasema hadi 39 ur single no kid no wed???? mmmhh hata nilishindwa kushangaa kabisa natamani aone hapa watu wabeba boksi wenzake wanavoserebuka heheheheee
Il nimependa macho ya bibi harusi na tabasamu lake (lips), nimemfananisha na......................
Sidhani kama kuna muda ambao lazima mtu awe ameoa.
No one should be forced to marry kwa sababu tuu umri unaenda.
Kuoa ni suala binafsi..
Kwa wabongo wengi wanaoweka marital statuses zao kwenye resume hiyo bado ni foreign concept.
Kwao kuoa/kuolewa ni lazima na usipofanya hivyo una kasoro. Tena unatakiwa uoe/uolewe ndani ya umri fulani.
Kinyume na hivyo utatetwa kila kona na pembe.
Napenda mnavyojibizana kama nawaona mmekaa mezani mnatizamana huku kila mmoja akimjibu mwenzie hehheeeee mmenikumbusha mbali nilishapataga issu kama hiii looh sina hamu
ndoto zangu ni kuolewa na mbeba box ujue!New York stand up, Bongo stand up, Jam down stand up, Upanga stand up.
May they enjoy a long and blissful matrimony.
Halafu watu watakandya kubeba box.
Ladies ukimshika mbeba box anayepiga "box" metaphorically mpango mzima ndo kama huu na hata zaidi.
Ila mimi hawanipati ng'o.
Hapa ndipo ninaposema kuwa Watanzania wengi ni wanafiki.
Pamoja na kulazimisha kuoa/olewa mapema inapofika kwenye suala la kuomba kazi Watanzania wengi hasa wanawake, huwa wanaweka marital status kwenye CV zao kuwa wapo single.
Wakati wanalazimisha kuoa/olewa mapema, huwa wanaficha kuwa hawajaoa/olewa kwenye CV zao. Huu ndiyo unafiki at its best.
"Age aren't nothing but a number".
Kwa wabongo wengi wanaoweka marital statuses zao kwenye resume hiyo bado ni foreign concept.
Kwao kuoa/kuolewa ni lazima na usipofanya hivyo una kasoro. Tena unatakiwa uoe/uolewe ndani ya umri fulani.
Kinyume na hivyo utatetwa kila kona na pembe.
Issue ya kulazimishwa kuoa/olewa au kudanganya kuwa ni single kwenye CV yako kumbe sivyo?
Smile ana mtindo wa ku-rule out her potentials, sasa wewe umeji-rule out automatically, inaweza kuwa pigo kubwa sana kwake kama alikuwa hana mpango wa kuku-rule out.Smile ndo top temptress hapa mjini JF nini? Mbona heshi kutajwa?
Ujue wengine mechi za mchangani huko hatuhudhurii sana pengine tunakosa kuona ma star wa kombe la u Jezebel.