Mkunde Original
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 807
- 647
Umesem kuwa "Napenda mnavyojibizana kama nawaona mmekaa mezani mnatizamana huku kila mmoja akimjibu mwenzie hehheeeee mmenikumbusha mbali nilishapataga issu kama hiii looh sina hamu".
Issue gani ilikupata? Ya kulazimishwa kuoa/olewa, kudanganya kwenye CV kuwa upo singile au mtu kupenda ulivyokuwa unajibizana na mtu mwingine?
Halafu wewe!!!!!!!!
wee banamwenzio wine ilishapanda kichwani hata sjui ilikuwa issue gani nilikuwa nazungumzia hapo, ila sikuwahi kulazimishwa kuolewa wala kudanganya kwenye CV kuwa nipo single wakatiam married, mie nilipenda tuu mnavyojibu yaani wewe ukisema hivi yule anajibu vile mie ilikuwa burdani.
Ila nilishawahi kukaa meza moja na mkaka mmoja hivi anaongea maingish huyo yaani kila nikijitahidi kumaliza maongezi anazidi kuleta jambo ambalo sikubali kushindwa hivyo tuliendelea kuongea kumbe mwenzangu alikuwa anafurahia sauti yangu hahahahaaa sikujua, baada e nikamuaga naenda toilet si unajua wadada mkienda toilet na pochi yako unabeba haaa nilimuachia manyoya aisee, ndo hiyo uliyonikumbusha yaani huyo mkaka alikuwa mbishi na mimi mbishi, alikuwa akija na A mi nakuja na C mwisho nikaamua kukubali kushindwa nikaishia.