Tanzanian-Jamaican Wedding in New York

Tanzanian-Jamaican Wedding in New York

ndoto zangu ni kuolewa na mbeba box ujue!
pls legeza masharti bwana ...naapa nitakuthamini kiranga ...wallah hapa bongo vumbi tupu ! kila mtu vumbi!
natamani kukanyaga kwa obama au kwa malikia mwenzenu pls Nyani Ngabu do ze needful hapa!

Tena kama wewe ukimkuta mbongo mbeba box kashachukua mbawa za buluu zake unawiki zako tatu tu.

Makaratasi yote unaenda kuchukulia Drive-In pale, ukishuka JFK Rihanna kasingiziwa.

Ila mie jazz band langu nikiangalia ndoa in this context naona utumwa tu.
 
Smile ana mtindo wa ku-rule out her potentials, sasa wewe umeji-rule out automatically, inaweza kuwa pigo kubwa sana kwake kama alikuwa hana mpango wa kuku-rule out.

Anaye rule out anajua angalau ana concentrate wapi.
 
Ukiona hivyo ujue hao wanawake au waschana wanaoficha hizo marital status zao kwentye CV walikuwa wabeba box ndo wakaja home kuolewa na hapo kwenye kazi anataka awe ms hahahahahaaaa majanga tu hayo au kama sio watakuwa washachoshwa na stress za ndoa hivyo kazi kwao ndo inakuwa hobby na ndoa stress re-leaser, age arent a nothing ila msome mbeba boksi mwenzako hapa...............

Wengi wao wala hawakuwa wabeba box. Wamezaliwa na kusoma hapa hapa Bongo.

Hivi mtu akiwa Bongo anaweza kubeba box?
 
Wengi wao wala hawakuwa wabeba box. Wamezaliwa na kusoma hapa hapa Bongo.

Hivi mtu akiwa Bongo anaweza kubeba box?

Kubeba box kwa bongo ni kubeba zege.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
sijakuelewa bana sijui wine ishapanda kichwani tayari, umesema sivyo ninavyo danganya kwenye CV yangu? au umesema niko single? kwani mie nimelazimishwa kuolewa? sijaelewa:A S 576:

Umesem kuwa "Napenda mnavyojibizana kama nawaona mmekaa mezani mnatizamana huku kila mmoja akimjibu mwenzie hehheeeee mmenikumbusha mbali nilishapataga issu kama hiii looh sina hamu".

Issue gani ilikupata? Ya kulazimishwa kuoa/olewa, kudanganya kwenye CV kuwa upo singile au mtu kupenda ulivyokuwa unajibizana na mtu mwingine?

Halafu wewe!!!!!!!!
 
ndoto zangu ni kuolewa na mbeba box ujue!
pls legeza masharti bwana ...naapa nitakuthamini kiranga ...wallah hapa bongo vumbi tupu ! kila mtu vumbi!
natamani kukanyaga kwa obama au kwa malikia mwenzenu pls Nyani Ngabu do ze needful hapa!

Hahahaa a damsel in distress.

Lemme work on it and see what I can do to help you.
 
Wengi wao wala hawakuwa wabeba box. Wamezaliwa na kusoma hapa hapa Bongo.

Hivi mtu akiwa Bongo anaweza kubeba box?

Hapana bana...mtu akiwa bongo hawezi kubeba box. Akiwa bongo ni ama anakula vumbi au ananuka kikwapa🙂
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa a damsel in distress.

Lemme work on it and see what I can do to help you.
au nitafutie hata mjamaica! hii vumbi ni too much aaisee ! mtu unapauka sana huku i cant take it anymore !
 
Tena kama wewe ukimkuta mbongo mbeba box kashachukua mbawa za buluu zake unawiki zako tatu tu.

Makaratasi yote unaenda kuchukulia Drive-In pale, ukishuka JFK Rihanna kasingiziwa.

Ila mie jazz band langu nikiangalia ndoa in this context naona utumwa tu.
aaaaahaaa damn it! kwa hiyo umenitosa sio?
 
Kiranga anadai mbeba box Bongo ni mbeba zege.

Maybe....but kwangu tulio ughaibuni (notwithstanding what you do for a living) ndo wabeba maboksi.

Sasa ili kutofautisha, walio bongo ni wala vumbi na wanuka vikwapa.

Lakini haimaanishi walio ughaibuni wote wanabeba maboksi literally na wala haimaanishi walio bongo wote wanakula vumbi (ingawa mivumbi iko kila sehemu bongo) na kunuka vikwapa.

Ni humorous way tu ya kutofautisha.
 
I thought exile is exile. So why should it matter if it was forced or if it was voluntary?
Nyani Ngabu AKA Raisi wa wabeba box are you in exile or forced out or just mkimbizi wa njaa? naomba kujulishwa mheshimiwa Raisi
 
Nyani Ngabu AKA Raisi wa wabeba box are you in exile or forced out or just mkimbizi wa njaa? naomba kujulishwa mheshimiwa Raisi

We mchuma spinach kumbe upo...?

I'm neither in exile nor mkimbizi wa njaa.
 
Maybe....but kwangu tulio ughaibuni (notwithstanding what you do for a living) ndo wabeba maboksi.

Sasa ili kutofautisha, walio bongo ni wala vumbi na wanuka vikwapa.

Lakini haimaanishi walio ughaibuni wote wanabeba maboksi literally na wala haimaanishi walio bongo wote wanakula vumbi (ingawa mivumbi iko kila sehemu bongo) na kunuka vikwapa.

Ni humorous way tu ya kutofautisha.

What if you don't do anything for a living ughaibuni.

Kuna ma "Trust Fund babies".
 
Back
Top Bottom