Tanzanian-Jamaican Wedding in New York

Tanzanian-Jamaican Wedding in New York

Wakati wewe unaona picha zenye nakshi nzuri na mapambo ya kila aina...sisi wengine tunaangalia details nyingine mkuu...

Why avoiding the main topic,and discussing citizenship instead....wakati watu
wenyewe wako kwa obama....watz kama tumerogwa vile
cc Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Imewasilishwa kuwa yeye ni Mtanzania. Je, ni Mtanzania kweli ama? Maana mdingi wake (Kanyama Chiume) alitokea Malawi huko.
Kwani hakuna mtanzania ambaye baba yake ametokea nchi nyingine?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
I love the wedding kidogo niseme heee!!! EMT ameoa my wife wake mzuriii waaaooo nikupe na congrats kumbe ni mwingine. Yaani hiyo wed imenifanya nikumbuke siku yangu ya harusi maana nilipewa khanga kama hiyo inayoonekana hapo kwenye picha mama wa bride na groom wanapewa. Natural/cultural things inapendeza ila tuu huku ukijaribu kufanya cost yake inakuwa juu mnoo. Anyways kila kitu ni kuamua, kujaribu na kufanya nimependa na wanaonekana wako happy I wish the happiness to last for the rest of days in their life till death tear them apart.
Japo kuna mtu (m-TZ anaishi ughaibuni yuko 39 na hajaoa, was shocked ofcourse nikamwambia, "are u sick" na alichukia ujue....) aliniambia haelewi kwanini wabongo wanaoa mapema akitolea mfano kina Jay Z umri wake na wa mtoto wake means kachelewa kuoa, Obama umri wake na umri wa watoto wake means kachelewa kuoa sasa huyu anayeishi ughaibuni mbona kaoa yanky kabisa?
miaka 39 anategemea kuja kumuoa nani? tena ashindwe khaa! hata mayai yatakuwa yameisha huko!
 
Lakini mkuu mbona kila kitu hapo ni euro-centric sana? Ukiachilia hicho kikapu cha majani na neckties za vitenge? Where do Afro-Caribbean traditions feature in and for that matter Afrocentric traditions?

It could be the "most gorgeous multicultural weddings" to those who wrote the article, lakini watu kama wewe labda mtakuwa mmeshafanya au kuhudhuria the "most gorgeous multicultural weddings".
 
... mwanamke asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana apate kujitolea mwili na roho kwa Bwana. Ila mwanamke aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii ili amridhishe mumewe..."... 1Kor 7: 25-34
.

Smile Biblia inahitaji editing. Nadhani fungu kama hili uliotumia kwenye signature yako hali'make' sense...
 
Last edited by a moderator:
miaka 39 anategemea kuja kumuoa nani? tena ashindwe khaa! hata mayai yatakuwa yameisha huko!

hahahaaaa we achaa tuu mie nilibaki nashangaa nikasema huyu umagharibi umeshamuathiri ila nilimuudhi zaidi nilipomwambia au si rizki?(gay) maana nikasema hadi 39 ur single no kid no wed???? mmmhh hata nilishindwa kushangaa kabisa natamani aone hapa watu wabeba boksi wenzake wanavoserebuka heheheheee
Il nimependa macho ya bibi harusi na tabasamu lake (lips), nimemfananisha na......................
 
It could be the "most gorgeous multicultural weddings" to those who wrote the article, lakini watu kama wewe labda mtakuwa mmeshafanya au kuhudhuria the "most gorgeous multicultural weddings".

Hapana, sijawahi hudhuria multicultural wedding yoyote ile, zangu ni za huku uswahilini kwetu. Niliuliza vile kwa sababu articel inaongelea Afrocentric & Afro-Caribbean traditions wakati picha ni kinyume chake ukiachilia majani makavu ya migomba katika kikapu na neckties za vitenge.
 
Wakati wewe unaona picha zenye nakshi nzuri na mapambo ya kila aina...sisi wengine tunaangalia details nyingine mkuu...

Kweli Mkuu. When you read JF content, read it with an open mind.

The more you press on people, the more they will come up with information, some you didn't even anticipate.
 
.

Smile Biblia inahitaji editing. Nadhani fungu kama hili uliotumia kwenye signature yako hali'make' sense...
bible haiitaji editing mkuu soma ufunuo22:18 -19namshuhudia kila mtu ayasikiae maneno ya unabii ya kitabu hiki,mtu yoyote akiyaongeza mungu atamuongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki. na mtu yoyote akiondoa lolote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki mungu atamuondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima na katika ule mji mtakatifu ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki
 
Kweli Mkuu. When you read JF content, read it with an open mind.

The more you press on people, the more they will come up with information, some you didn't even anticipate.

That's the beauty of open forums. Things get subjected to severe scrutiny in an open and honest way.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
hahahaaaa we achaa tuu mie nilibaki nashangaa nikasema huyu umagharibi umeshamuathiri ila nilimuudhi zaidi nilipomwambia au si rizki?(gay) maana nikasema hadi 39 ur single no kid no wed???? mmmhh hata nilishindwa kushangaa kabisa natamani aone hapa watu wabeba boksi wenzake wanavoserebuka heheheheee
Il nimependa macho ya bibi harusi na tabasamu lake (lips), nimemfananisha na......................
ahaaaa utasutwa wewe ila kile kicheko picha ya kwanza is it real!...au swaga za huko kwa boksi maana huku bongo kwenye kuapishwa mmmmh
76092_632523410112429_603235643_n.jpg
 
Back
Top Bottom