Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,157
- 137,181
New Zealand. Oceania ni bara la australia, Nz, Vanuatu, Nauru & South PNG
Basi nipe cheo kimoja mkuu
Naskia mnakula longpig huko. Ya kweli hayo?
New Zealand. Oceania ni bara la australia, Nz, Vanuatu, Nauru & South PNG
Basi nipe cheo kimoja mkuu
Usiseme ulijua issue ya wahamiaji haramu itaingia wakati wewe ndio ulishaiingiza toka mwanzo na ndio dhumuni la mada hii!Hahahaaa. Nilijua tuu issue ya "wahamiaji haramu" itaingia.
Sasa kama mwenyewe alikupa ruhusa kumbandika mitandaoni humu na kupamba harusi yake I hope pia alikuruhusu uje ujadili uraia wake na kumlipua kinyume nyume kuhusu uraia.Hapo wale wanaojifanya ni "wazalendo" na "wataifa" watasema baba yake ni "mhamiaji haramu" kutoka Malawi.
![]()
Wanyasa wote ni Watanzania? Kama ni ndiyo, basi Wajaluo na Wamasai wote pia ni Watanzania.
I didn't know Poughkeepsie was this nice, must be the Vassar side effect.
You didn't get the invite?
Btw, those two Gotham reprobates got resoundingly rejected:biggrin1:. What happened to your boy client 9?
Sidhani kama kuna muda ambao lazima mtu awe ameoa.
No one should be forced to marry kwa sababu tuu umri unaenda.
Kuoa ni suala binafsi.
Hivi Nate ni Mtanzania au Mnyasa?
Wako pia Wanyasa wa Bongo.
Najua wapo. Lakini huyu dogo mdingi wake si ni Mnyasa wa Malawi. Au siyo? Au Wanyasa wa Malawi [/unquote]
Just FYI Nate ni raia wa Tanzania na hilo jambo halina mgogorokabisa na pia Nate anajivunia sana kuwana damu ya kimalawi na Utaifa wa Tanzania.Loyalty yake siku zote ni kwa Taifa lake....so acheni kujadili uraia wake kwanza mkishajua utawasaidia nini?....
Wengi wao wala hawakuwa wabeba box. Wamezaliwa na kusoma hapa hapa Bongo.
Hivi mtu akiwa Bongo anaweza kubeba box?
Kubeba box kwa bongo ni kubeba zege.
Fanya kweli kwenye jubilee basi.