Tanzanian diaspora mnatuangusha

Tanzanian diaspora mnatuangusha

hivi wanahesabu na hela watu wanazotuma kwa wapemba??? watz wengi wanatuma hela kwa njia zao wenyewe,hazina rekodi....watu wanatuma thousands of pounds kupitia wapemba kwasababu ukituma kwenye right channels[bank/western union etc] maswali mengi na kama ujuavyo wengi wanaishi kimtindo...wengine wakimbizi, wengine hawana documents kabisa.

Na mimi nimejiuliza swali hili hili.

Wabongo wengi hawapendi kiwekewa fees kwenye hela zao. Hivyo hupeleka hela kwa mitandao yao. Wengine wana sehemu zao, unaweka hela huku, kule mtu anapewa. Hata mimi nishafanya.

Sasa hizo nazo watawezaje kuzihesabu?
 
List of African Countries by diaspora remittance;

1. Nigeria ($21 billion)
2. Sudan ($3.2 billion)
3. Kenya ($1.8 billion)
4.
Senegal ($1.2 billion)
5.
South Africa ($1.0 billion)
6.
Uganda ($0.8 billion)
7.
Lesotho($0.5 billion)
8.
Ethiopia ($387 million)
9.
Mali ($385 million)
10.
Togo ($302 million)

Tanzania haipo kwenye top 10!
WHY?

Wanapombeka na kusocialize (namaanisha mnyumbuliko wa neno jamii) kwa saaaaaaana
 
Ndugu nakushangaa sana unapoorodhesha nchi zinazoruhusu Uraia pacha bila ya kutambua ya kwamba kila nchi ina Vipaumbele vyake yaani kila nchi kuna mambo ambayo inaona ni muhimu hizo nchi za Kiafrika ulizozitaja wao wameona umuhimu wa Uraia pacha sisi kwetu bado hatujaona na hakuna tatizo lolote hapo!

Nitakupa mfano mdogo sana umetaja Marekani kwamba ina ruhusu uraia pacha lakini unajua Sheria ya Marekani inasema nini kuhusu Uraia pacha?
Kama haufahamu ni hivi kama wewe ukiwa raia wa Marekani halafu ukaamua kuchukua Uraia wa nchi nyingine tusema TZ na unaishi TZ basi ni lazima pia ulipe kodi Marekani yaani kwa maana nyingine ulipe kodi mara mbili (nchi unayoishi na Marekani) na kwa Marekani ni lazima ulipe 30% ya Mshahara wako kodi, sasa ni kwa nini wameamua hivi?

Na jibu lake ni rahisi wao kama Marekani wameona raia wao kuwa uraia pacha hawafaidiki kama nchi na ili wafaidike basi ni lazima wanaochukua uraia wa Marekani na wanaishi nje ya Marekani pia walipe kodi Marekani na ndio hata sisi (mimi binafsi) tunasema maadamu Diaspora aliamua mwenyewe kwa hiari yake kwa manufaa yake binafsi kuchukua Uraia wa nchi nyingine basi pia hatuwezi kumwacha tu anvyoamua yeye kwa matakwa yake mwenyewe na siku anayotaka yeye kuwa Mtz au la, HAPANA na ndio maana Serikali imesema aliyeukana UTZ basi siku akirudi TZ atakuwa utambulisho wa Makazi maalumu, kumbuka huyo Muomani unayemuongelea ametimiza masharti ya Uraia wa TZ, ni rahisi kihivyo tu!

Vipaumbele vya kijinga havina mantiki ndo maana Tanzania huambiwa serikali yetu ya kibabaishaji kwa sababu faida ya uraia pacha ni sawa duniani kote si kwamba Marekani na Saud iwe hivi Tanzania na Kenya iwe vile faida ni ile ile ila imekuwa proved mataifa ya kukataa ni sababu serikali zao za kimangimeza hazitaki walioko nje kuja nyumbani kutoa wajinga madarakani
 
Vipaumbele vya kijinga havina mantiki ndo maana Tanzania huambiwa serikali yetu ya kibabaishaji kwa sababu faida ya uraia pacha ni sawa duniani kote si kwamba Marekani na Saud iwe hivi Tanzania na Kenya iwe vile faida ni ile ile ila imekuwa proved mataifa ya kukataa ni sababu serikali zao za kimangimeza hazitaki walioko nje kuja nyumbani kutoa wajinga madarakani

Kwani mnakatazwa kuja kuwatoa si mmeambiwa mkitaka kurudi nyumbani hamtakuwa Wageni kabisa bali mtakuwa na hadhi maalumu na kama ukitaka kumtoa mtu madarakani basi omba Uraia wa TZ tena kama wengine na ukitimiza masharti utapewa!
 
Ha ha haaa hii kitu bhana..........

By the way mnaweza kuwa wengi mkatuma bukubuku tu na wenzenu wachache wakatuma mpunga wa kueleweka mwisho wa siku ni amount sent ndio ina sound sio wangapi wametuma.........kama ingekuwa kuhesabu vidole obvious wengi wangekuwa na vingi ila suala la cash kuna variables nyingi sana.......mitikasi ya wapopo kwa mfano inajulikana inajulikana so unaweza kuta katika hiyo amount watu wachache sana wametia mpunga mwingi sana hapo.......
 
daah senegal imetisha saana, nchi ndogo akini hipo juu,kama nawaona vile , akon, viera, sakho etc
 
Kwani mnakatazwa kuja kuwatoa si mmeambiwa mkitaka kurudi nyumbani hamtakuwa Wageni kabisa bali mtakuwa na hadhi maalumu na kama ukitaka kumtoa mtu madarakani basi omba Uraia wa TZ tena kama wengine na ukitimiza masharti utapewa!
Sio sawa kwa mzawa wa Bongo kulazimishwa kuomba uraia wkati hii ndiyo nchi yake!
 
Muwakome wabeba box
(Mke wa mbeba box)teh.....
 
Hata sielewi mnaangushwa kivipi.

Ni kina nani nyinyi mnaoangushwa?

Watu wenyewe mnawadharau na kuwachukia hao wabeba maboksi halafu mnajidai eti mnaangushwa utadhani mliingia mkataba nao wa kufanyiana mambo.
 
Hata sielewi mnaangushwa kivipi.

Ni kina nani nyinyi mnaoangushwa?

Watu wenyewe mnawadharau na kuwachukia hao wabeba maboksi halafu mnajidai eti mnaangushwa utadhani mliingia mkataba nao wa kufanyiana mambo.
We huoni wabongo wenzetu wanavyotuangusha? Badala ya kutuma hela home na kuinvest huku sijui wanafanya nini hela zao. Diaspora can be a major source of dollars in our economy!
 
We huoni wabongo wenzetu wanavyotuangusha? Badala ya kutuma hela home na kuinvest huku sijui wanafanya nini hela zao. Diaspora can be a major source of dollars in our economy!

Oh please, screw them.

Everybody for himself.
 
Oh please, screw them.

Everybody for himself.
Build your home so even your kids and grand kids can be proud to say they have their roots here. There will come a day all blacks from allover the world will feel proud of saying they originate from Tanzania and the rest of Africa. It begins with you man!
 
What's with you and kutamba-ring and kutanua-ring???
Na sijui kuvuta vuta ngozi....u literally had an argument here with someone over that saying!
Anyways, nawapa Kenya big up kwa hili.....sisi diaspora wamelala usingizi wa pono!
Wakiulizwa wanasema wamenyimwa uraia Tz, i don't know how valid that point is!
Tz tungekuwa tunapata walau $1 billion tungekuwa mbali sana!


Can someone tell me why Nigeria is top? And anyone else noticed the national population of Nigeria and the % that is outside Nigeria? Can you honestly compare the number of Tanzanians living in the UK to the same for Nigeria or Kenya? From what I know, there arent many Tanzanians living abroad. Asilimia kubwa ya waTanzania wakienda nje kusoma humaliza na kurudi Tanzania. Pia, Tanzanians compared to other African countries especially hizo zilizotajwa hapo juu, hawakuweka kipaumbele uhamiaji to those countries until the early 80s.
 
We huoni wabongo wenzetu wanavyotuangusha? Badala ya kutuma hela home na kuinvest huku sijui wanafanya nini hela zao. Diaspora can be a major source of dollars in our economy!

Unaangushwaje kwa mfano? Just because Tanzania doesnt make the top 10? Do you know how many Nigerians or South Africans are living in Diaspora? And how many Tanzanians? Ushindani mwingine haumake sense.
 
Ni mpaka utapoweza kuweka line ya uhusiano wa uraia pacha, kipato na willingness ya mtu kutuma pesa.....

faida za uraia pacha ni nyingi mfano kwenye hio pesa imeongezeka mara mbili baada ya uraia pacha kuwekwa kwenye katiba,haiwezekani mimi nimezaliwa Tanzania na kukulia,miaka mitatu nimechoka na kurudi na uraia unaniambia nilipie ela ya viza wakati mimi mbongo mwenzako kabisa.

Harafu nikitaka kuwekeza unanihesabia mimi kama mgeni na viwango vinakuwa sawa na mzungu mgeni aliyetoka nje hio si sawa kwa namna hiyo tutazidi kupitwa tu nna wenzetu tatizo watanzania wamejaa wivu wa kijingaaa bila kuangalia faida zaidi
 
Kwani mnakatazwa kuja kuwatoa si mmeambiwa mkitaka kurudi nyumbani hamtakuwa Wageni kabisa bali mtakuwa na hadhi maalumu na kama ukitaka kumtoa mtu madarakani basi omba Uraia wa TZ tena kama wengine na ukitimiza masharti utapewa!

Wachagga walilazilishwa kuhama Kilimanjaro na kwenda Morogoro? Wasukuma walilazimishwa kutoka Mwanza na kwenda Chunya? wamasai walilaIamishwa kutoka Arusha kwenda Morogoro? na wabara walilazimishwa kukimbilia Dar? Sababu ni zilezile zilizofanya nao diaspora waondoke na kwenda kwingine unapolazimisha warudi wakati wameenda kutafuta basi lazimisha na wamasai warudi Aruaha, wachagga warudi Moshi na wasukuma warusi Mwanza
 
Kwani mnakatazwa kuja kuwatoa si mmeambiwa mkitaka kurudi nyumbani hamtakuwa Wageni kabisa bali mtakuwa na hadhi maalumu na kama ukitaka kumtoa mtu madarakani basi omba Uraia wa TZ tena kama wengine na ukitimiza masharti utapewa!

Huo upendeleo hauhitajiki katika kizazi cha kwanza hufanywa hata India unaitwa PIO (People of Indian Orgin) hii hufanyika katika wale watoto wamezaliwa nje ya India na wazazi wa kihindi lakini mzazi iwapo aliondoka na passport ya India hata akapata uraia nje bado ni raia wa India

Sie hutakiwi ukichukua tu uraia wa nje inakula kwako kurudi unaomba uraia mpya
 
Back
Top Bottom