Tanzanian diaspora mnatuangusha

Tanzanian diaspora mnatuangusha

Watanzania wengi walioko nchi za nje hawajatoka kwenye familia lalahoi, familia zao zina uwezo kimaisha sio kama Wakenya na Waganda. Ndio maana hana shida sana itakayomfanya atumetume pesa kwa ndugu kujikimu kimaisha.

Lakini Waganda na Wakenya wametoka kwenye familia za shida huko uswekeni, ndio maana wanatuma pesa mara kwa mara kutatua matatizo ya kifamilia na wengi wao wametoka vijijini.
 
Watanzania wengi walioko nchi za nje hawajatoka kwenye familia lalahoi, familia zao zina uwezo kimaisha sio kama Wakenya na Waganda. Ndio maana hana shida sana itakayomfanya atumetume pesa kwa ndugu kujikimu kimaisha.

Lakini Waganda na Wakenya wametoka kwenye familia za shida huko uswekeni, ndio maana wanatuma pesa mara kwa mara kutatua matatizo ya kifamilia na wengi wao wametoka vijijini.

You couldn't hit the point more than this.

Sababu kadhaa zinafanya Tz isiwepo Kwa hiyo list, mosi, kama jamaa alivyosema waTz wengi nje ya nchi ni watoto wa wenye nacho sio kama wakenya, waganda na wawest ambao wanaenda baada ya kupigwa na maisha homeland. Mtz akifika mbele bado anatumiwa pesa kutoka home whilst mkenya inabidi ajipige atume pesa kwao (Ubaya wa hii akili za waTz huwa zinalala wakifika huko)

Pili, wakenya na hao wengine wote wamejawa shida hivyo kwenda mbele kwao ni fortune na muamko wa wao kwenda nje ni mkubwa ilhali Tz muamko ni mdogo hivyo idadi ya waTz nje ni ndogo.
 
Its not a bad thing. A leading Japanese researcher recently asked young Japanese to venture out of Japan more for studies, and work more. Tanzanians need to get out their Country more, the need to venture out of their comfort zones, need to take more risks. That's why its hard for Tanzanians to beat Kenyans in many things. Kenyans are hardened survivors.
Take more risks ndugu na dada zanguni watanzania. Thats why wazungu hutushinda sana sisi waafrika, they take more risks than us and go to weird far places for business pleasure, or work. Thats how you learn about different opportunities.

I don't buy the reasons that Tanzanians who are abroad are loaded. Ni kuhustle imewashinda.
 
Hizo data bila Wazimbabwe sizikubali kama za kweli. Mleta mada tueleze source

Mkuu, nakubaliana na wewe. zimbabwe kwa miaka 10 imezalisha wakimbizi wa kiuchumi ambao wametapakaa karibia duniani kote. wazimbabwe wengi hufanya kazi ambazo hata sisi wabongo hatuzitaki, ili wapate hela ya kutuma nyumbani.
 
In Africa, Kenya is the leading immigrant sender with Burkina Faso, Nigeria, Uganda, Ethiopia and Senegal.
It's not a"good" thing.

Wizara ya mambo ya nje ni moja ya wizara ambayo haijatupiwa macho vizuri lakini kama tungeitupia jicho stahili hata hao wanaosubiri kuoteshwa Urais wasingejaribu hata kuufikiria.

Balozi zetu tumeshindwa kuzitumia vizuri kwenye mambo ya msingi ikiwemo hili la fursa hizi za kiuchumi.
 
Remittance? it is good to earn it, though sizani kama ni jambo zuri kujivunia remmitance simply because kuwa na diaspora wengi nje ya Nchi. The point here is, watanzania wengi hawana utamadani wa kwenda nje kwa kuwa huko nje siyo dili tena (Fortune) kama wenzetu wanavyofikiri. kwa mfano, ticket ya ndege, let us say dollar 2000 USD. hii ni karibia million 4 ya kitanzania. nauli yenyewe ni mtaji kwa kiasi fulani. that why wabongo wengi hawaoni kama ni issue kwenda nje, unless awe anaenda kusoma tu na si kutafuta vibarua. kama wadau walivyosema, maskini wa TZ siyo kama wa KEnya, wala Ethiopia. on the other side, Mtz akipiga hela ughaibuni hana haja ya kuituma via Sijui western Union...anakuja nayo mwenyewe. hivyo basi siyo rahisi kupata data kamili ya remmittance inayotumwa Bongo
 
What's with you and kutamba-ring and kutanua-ring???
Na sijui kuvuta vuta ngozi....u literally had an argument here with someone over that saying!
Anyways, nawapa Kenya big up kwa hili.....sisi diaspora wamelala usingizi wa pono!
Wakiulizwa wanasema wamenyimwa uraia Tz, i don't know how valid that point is!
Tz tungekuwa tunapata walau $1 billion tungekuwa mbali sana!
Hata tungepeleka watanzania wote
Nje wakabaki wanajeshi tu hela ambayo wangeleta isengefika mapato ambayo tungepata kwenye uvuvi tu achilia mbali channels nyingine hakuna
Taifa linaloendelea zaidi ya kuzalisha na kuuza nje Diaspora wanawafanya dependants hao wanaowategemea na sio productive.

Ufisadi na ulimbukeni wa viongozi wetu ndio unaotugharimu.
 
Mkuu, nakubaliana na wewe. zimbabwe kwa miaka 10 imezalisha wakimbizi wa kiuchumi ambao wametapakaa karibia duniani kote. wazimbabwe wengi hufanya kazi ambazo hata sisi wabongo hatuzitaki, ili wapate hela ya kutuma nyumbani.

Nakuunga mkono, wazimbabwe kama ulivyosema wametapakaa ulaya, amerika, na nchi za afrika wanapoona kuna fursa.
 
Here we go again...

Anti-wabeba maboksi massive where y'all at?

Most of the time I stop to read on these topics one things stands out, there is some type of anomosity between
those left at home and those in the diaspora. I have tried to figure out where all this stems from but I have never
quite understood.

Big difference with KE, where we are one and infact when top government officials, including the President, visit
they make it a point of visiting our diasporans with the main message of "Send cash back home". That's how our money
gets there.

Hii biashara ya kuvutana mashati is not beneficial at all. Then I see folks bashing dual citizenship and I just shake
my head.

Naomba darasa on the Tz perspective.

Shukran.
 
Hata tungepeleka watanzania wote
Nje wakabaki wanajeshi tu hela ambayo wangeleta isengefika mapato ambayo tungepata kwenye uvuvi tu achilia mbali channels nyingine hakuna
Taifa linaloendelea zaidi ya kuzalisha na kuuza nje Diaspora wanawafanya dependants hao wanaowategemea na sio productive.

Ufisadi na ulimbukeni wa viongozi wetu ndio unaotugharimu.

Unajua mapato yatokanayo na utalii, ambayo ndiyo sekta kubwa Tanzania kwa sasa, yanalingana na hiyo diaspora remittance ya Kenya???
Which means kama hao diaspora wangefikia tu hiyo amount ya Kenya wangekuwa ni major source of foreign currency to our country!
 
ndugu zetu wengi wabeba box huko sasa unategemea nni, waache wawasaidie ndugu zao bongo kwa hela za madafu
 
Most of the time I stop to read on these topics one things stands out, there is some type of anomosity between
those left at home and those in the diaspora. I have tried to figure out where all this stems from but I have never
quite understood.

Big difference with KE, where we are one and infact when top government officials, including the President, visit
they make it a point of visiting our diasporans with the main message of "Send cash back home". That's how our money
gets there.

Hii biashara ya kuvutana mashati is not beneficial at all. Then I see folks bashing dual citizenship and I just shake
my head.


Naomba darasa on the Tz perspective.

Shukran.

Suala la Dual Citizenship kwa Watz wengi sio kama wanalipinga bali hawaoni umuhimu wake!
Labda ngoja nikuulize kwa maana umekiri kwamba wewe ni Mkenya!
Najua Kenya mmeruhusu Uraia pacha, je fedha zinazotumwa nyumbani na MaDiaspora zimeongezeka kwa kiasi gani (asilimia % ngapi) ukilinganisha na wakati ambao kulikuwa hakuna Dual Citizenship? (unaweza kujibu kwa Kiingereza Ukipenda!)

 
Remittance? it is good to earn it, though sizani kama ni jambo zuri kujivunia remmitance simply because kuwa na diaspora wengi nje ya Nchi. The point here is, watanzania wengi hawana utamadani wa kwenda nje kwa kuwa huko nje siyo dili tena (Fortune) kama wenzetu wanavyofikiri. kwa mfano, ticket ya ndege, let us say dollar 2000 USD. hii ni karibia million 4 ya kitanzania. nauli yenyewe ni mtaji kwa kiasi fulani. that why wabongo wengi hawaoni kama ni issue kwenda nje, unless awe anaenda kusoma tu na si kutafuta vibarua. kama wadau walivyosema, maskini wa TZ siyo kama wa KEnya, wala Ethiopia. on the other side, Mtz akipiga hela ughaibuni hana haja ya kuituma via Sijui western Union...anakuja nayo mwenyewe. hivyo basi siyo rahisi kupata data kamili ya remmittance inayotumwa Bongo
 
Back
Top Bottom