Tanzanian diaspora mnatuangusha

Tanzanian diaspora mnatuangusha

Wachagga walilazilishwa kuhama Kilimanjaro na kwenda Morogoro? Wasukuma walilazimishwa kutoka Mwanza na kwenda Chunya? wamasai walilaIamishwa kutoka Arusha kwenda Morogoro? na wabara walilazimishwa kukimbilia Dar? Sababu ni zilezile zilizofanya nao diaspora waondoke na kwenda kwingine unapolazimisha warudi wakati wameenda kutafuta basi lazimisha na wamasai warudi Aruaha, wachagga warudi Moshi na wasukuma warusi Mwanza

Kama mfano wako ni huo basi huyo unayemuita mchaga kama akihama kwao na akauza shamba lake pia hawezi kurudi baada ya miaka kadhaa na kudai arudishiwe lile shamba kwa maana ni la ke tangu vizazi, kama akirirudi na akiwa bado hajauza shamba lake basi ruksa kulitumia kama ameliuza basi imekula kwake na inabidi aanze moja kutafuta shamba lingine!

 
Yawezekana lile linalosemwa la kazi yao kubwa ni kubeba mabox lina ukweli hivyo wanapata pesa ya kula tu huwawezi kutuma bongo.
 
Kama mfano wako ni huo basi huyo unayemuita mchaga kama akihama kwao na akauza shamba lake pia hawezi kurudi baada ya miaka kadhaa na kudai arudishiwe lile shamba kwa maana ni la ke tangu vizazi, kama akirirudi na akiwa bado hajauza shamba lake basi ruksa kulitumia kama ameliuza basi imekula kwake na inabidi aanze moja kutafuta shamba lingine!


Sio arudi arudishiwe shamba bali arudi kama anarudi nyumbani bila kuitwa mpogolo bali mchagga kwani mtanzania aliyeondoka anarudi kudai alichouza? Anarudi nyumbani kwao kama mtanzania sio mmarekani au mjerumani awe na haki zote kama mtanzania aliyeondoka. Huyo mchagga akirudi atambulike kama mchagga aliyerudi kwao bila masharti yeyote iwapo aliuza shamba hawezi lidai maana si lake lakini utambulisho unabaki palepale kuwa ni mchagga na si mpogolo na ana haki zote kama aliowaacha za kuwa mchagga
 
Can someone tell me why Nigeria is top? And anyone else noticed the national population of Nigeria and the % that is outside Nigeria? Can you honestly compare the number of Tanzanians living in the UK to the same for Nigeria or Kenya? From what I know, there arent many Tanzanians living abroad. Asilimia kubwa ya waTanzania wakienda nje kusoma humaliza na kurudi Tanzania. Pia, Tanzanians compared to other African countries especially hizo zilizotajwa hapo juu, hawakuweka kipaumbele uhamiaji to those countries until the early 80s.

wanigeria waliopo UK tu wanakadiriwa kuwa zaidi ya million 2
 
Yawezekana lile linalosemwa la kazi yao kubwa ni kubeba mabox lina ukweli hivyo wanapata pesa ya kula tu huwawezi kutuma bongo.

Watanzania wa ajabu kweli mtu akifanya kazi yake bila kuiba anadharauliwa lakini wezi watawala wanashangiliwa unataka kusema Tanzania kila mmoja kazi yake ni boss? Unachekesha ni heri kubeba box ulaya kuliko kufanya kazi ya kawaida Tanzania labda uwe na access na rushwa ndo maana Tanzania kila mmoja anataka kuwa mwanasiasa, mkurugenzi wa kampuni mfanyakazi TRA, Bandari, Benki Kuu, Hazina au mkurugenzi wa wilaya au mkoa ili awe fisadi maana kazi Tanzania unajua kabisa wapi penye kuiba kirahisi utoke kwa wenzetu si lazima uibe maana daktari tu wa kawaida na si bingwa analipwa dollar 150,000 kodi hapo dollar 20,000 anapeleka nyumbani 130,000 milioni 220 hata kwa maisha ya Marekani ni pesa nyingi sana huyo mmbeba box analipwa 32,000 kwa mwaka takribani milioni 50 yuko safi kuliko afisa wa serikali hapa Tanzania anayelipwa milioni 15 kwa mwaka labda na za kuiba na kuiba ni dhambi si uhodari na hizo milioni 15 kwa mwaka bado kulipia wanafunzi gharama hata chekechea ya maana milioni kwa mwaka fanya kazi yeyote ili mradi huibi na hujalazimishwa

Mbeba box akiona kazi moja haitoshi anapiga mbili Tanzania hakuna pa kupiga mbili bali kwenda kuiba, rushwa na wanawake kuwa mahawala wa mabosi au kujiuza ndo madeal na watu wanajisifu kuanzia ikulu deal mpaka kwa katibu kata
 
Sio arudi arudishiwe shamba bali arudi kama anarudi nyumbani bila kuitwa mpogolo bali mchagga kwani mtanzania aliyeondoka anarudi kudai alichouza? Anarudi nyumbani kwao kama mtanzania sio mmarekani au mjerumani awe na haki zote kama mtanzania aliyeondoka. Huyo mchagga akirudi atambulike kama mchagga aliyerudi kwao bila masharti yeyote iwapo aliuza shamba hawezi lidai maana si lake lakini utambulisho unabaki palepale kuwa ni mchagga na si mpogolo na ana haki zote kama aliowaacha za kuwa mchagga

Huyo hata hakuelewi uandikacho mbishi mbishiii ,umemuelimisha inatosha achana naee
 
An estimated 230 million migrants will send $500 billion in remittances to developing countries in 2015, a flow of capital expected to do more to reduce poverty than all development aid combined, a senior official of the U.N. agricultural bank said.
Ten percent of the world's people are directly affected by this money, Pedro De Vasconcelos, programme coordinator for remittances with the International Fund for Agricultural Development, told a conference on Tuesday.
Migrants are investing back into poor regions

"Migrants are investing back into poor regions," Vasconcelos said, adding that about $200 billion is expected to go directly to rural areas.
This money could play a key role in boosting food production and eliminating the hunger faced by 805 million people by allowing families to invest in land, seeds, livestock and equipment.
The United Nations estimates that is the number of people - one ninth of the global population - who have too little to eat.
An estimated 80 percent of the rural people receiving remittances do not have access to traditional banking services, Vasconcelos said.
Harnessing mobile technology and other new approaches to banking could help link rural residents to financial systems when they collect their remittances, giving them better access to savings, insurance and other financial products which could help them improve farm productivity, he said.
The projection of $500 billion in remittances going to poor countries in 2015 is a significant jump from the $404 billion in such remittances the World Bank recorded in 2013.
Remittances are worth four times as much as all overseas development aid provided by wealthy countries, Vasconcelos said.


Read the original article on Theafricareport.com : Remittances to developing nations to hit $500 billion in 2015: U.N. official | North Africa
Follow us: @theafricareport on Twitter | theafricareport on Facebook

TZ diaspora mmo?
 
Back
Top Bottom