Tanzanian diaspora mnatuangusha

Tanzanian diaspora mnatuangusha

msemakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,627
Reaction score
880
List of African Countries by diaspora remittance;

1. Nigeria ($21 billion)
2. Sudan ($3.2 billion)
3. Kenya ($1.8 billion)
4.
Senegal ($1.2 billion)
5.
South Africa ($1.0 billion)
6.
Uganda ($0.8 billion)
7.
Lesotho($0.5 billion)
8.
Ethiopia ($387 million)
9.
Mali ($385 million)
10.
Togo ($302 million)

Tanzania haipo kwenye top 10!
WHY?
An estimated 230 million migrants will send $500 billion in remittances to developing countries in 2015, a flow of capital expected to do more to reduce poverty than all development aid combined, a senior official of the U.N. agricultural bank said.
Ten percent of the world's people are directly affected by this money, Pedro De Vasconcelos, programme coordinator for remittances with the International Fund for Agricultural Development, told a conference on Tuesday.
"Migrants are investing back into poor regions," Vasconcelos said, adding that about $200 billion is expected to go directly to rural areas.
This money could play a key role in boosting food production and eliminating the hunger faced by 805 million people by allowing families to invest in land, seeds, livestock and equipment.
The United Nations estimates that is the number of people - one ninth of the global population - who have too little to eat.
An estimated 80 percent of the rural people receiving remittances do not have access to traditional banking services, Vasconcelos said.
Harnessing mobile technology and other new approaches to banking could help link rural residents to financial systems when they collect their remittances, giving them better access to savings, insurance and other financial products which could help them improve farm productivity, he said.
The projection of $500 billion in remittances going to poor countries in 2015 is a significant jump from the $404 billion in such remittances the World Bank recorded in 2013.
Remittances are worth four times as much as all overseas development aid provided by wealthy countries, Vasconcelos said.


Read the original article on Theafricareport.com : Remittances to developing nations to hit $500 billion in 2015: U.N. official | North Africa
Follow us: @theafricareport on Twitter | theafricareport on Facebook
 
List of African Countries by diaspora remittance;

1. Nigeria ($21 billion)
2. Sudan ($3.2 billion)
3. Kenya ($1.8 billion)
4.
Senegal ($1.2 billion)
5.
South Africa ($1.0 billion)
6.
Uganda ($0.8 billion)
7.
Lesotho($0.5 billion)
8.
Ethiopia ($387 million)
9.
Mali ($385 million)
10.
Togo ($302 million)

Tanzania haipo kwenye top 10!
WHY?

Umesahau kitu kimoja nacho idadi ya hao Madiaspora ktk kila nchi ulizozitaja ndiyo uweze kuwa fair kwa Watz!
 
List of African Countries by diaspora remittance;

1. Nigeria ($21 billion)
2. Sudan ($3.2 billion)
3. Kenya ($1.8 billion)
4.
Senegal ($1.2 billion)
5.
South Africa ($1.0 billion)
6.
Uganda ($0.8 billion)
7.
Lesotho($0.5 billion)
8.
Ethiopia ($387 million)
9.
Mali ($385 million)
10.
Togo ($302 million)

Tanzania haipo kwenye top 10!
WHY?

For the same reasons why Kenya is third and SA.is fifth..You know what.. We love to invest here at home.
 
For the same reasons why Kenya is third and SA.is fifth..You know what.. We love to invest here at home.
Sikuelewi.....kama mnapenda kuinvest nyumbani basi Remittances zingekuwa higher than that au?
 
Umesahau kitu kimoja nacho idadi ya hao Madiaspora ktk kila nchi ulizozitaja ndiyo uweze kuwa fair kwa Watz!
Sidhani kama hoja yako ni valid.
We angalia hizo nchi kwenye hiyo list......TOGO, LESOTHO!
Tungefikia hata $1 billion ingekuwa safi sana. In fact remittances zingefidia hizo $500 million tunazofadhiliwa na wazungu!
 
Serikali yetu haijatilia maanani habari au mchango wa diaspora ndio maana hawana record, hawajui mchango halisi wa diaspora kwa uchumi wetu, na kwa sababu hiyohiyo watanzania nao hawaoni umuhimu wala mchango wa diaspora ndio maana wanawatukana kila siku na kashfa kibao
 
List of African Countries by diaspora remittance;

1. Nigeria ($21 billion)
2. Sudan ($3.2 billion)
3. Kenya ($1.8 billion)
4.
Senegal ($1.2 billion)
5.
South Africa ($1.0 billion)
6.
Uganda ($0.8 billion)
7.
Lesotho($0.5 billion)
8.
Ethiopia ($387 million)
9.
Mali ($385 million)
10.
Togo ($302 million)

Tanzania haipo kwenye top 10!
WHY?

Kwa sababu nchi karibu zote hapo juu zinaruhusu uraia pacha, ndio maana wana diaspora wao wanatuma mahela mengi tu nyumbani
 
Sidhani kama hoja yako ni valid.
We angalia hizo nchi kwenye hiyo list......TOGO, LESOTHO!
Tungefikia hata $1 billion ingekuwa safi sana. In fact remittances zingefidia hizo $500 million tunazofadhiliwa na wazungu!

Hoja yangu ina maana kwa maana huwezi kutaka kulinganisha vitu bila kuwa na Data zote!
Wewe umetoa figure tu ya fedha zinazotumwa kwenye hizo nchi!
Sasa bila kujua hizo nchi zina wakazi wangapi huko nje unawezaje kusema Diaspora wa nchi fulani hawatumi fedha nyingi kulinganisha na nchi fulani?

Kwa mfano kama Je nikuuliza ni asilimia ngapi ya Wasenegali walioko nje ya Senegali wanatuma fedha nyumbani utasemaje? hiyo namba utaipataje kama haujui Idadi ya Wasenegali waliokuwa nje ya Senegali?

Sikatai wala sipingi labda ni kweli Watz wetu hawatumi fedha nyingi Nyumbani lkn bila ya kupata idadi kamili ya watu wa hizo nchi walioko nje ukilinganisha na ya wa kwetu walioko nje inakuwa ngumu kuhitimisha!
 
List of African Countries by diaspora remittance;

1. Nigeria ($21 billion)
2. Sudan ($3.2 billion)
3. Kenya ($1.8 billion)
4.
Senegal ($1.2 billion)
5.
South Africa ($1.0 billion)
6.
Uganda ($0.8 billion)
7.
Lesotho($0.5 billion)
8.
Ethiopia ($387 million)
9.
Mali ($385 million)
10.
Togo ($302 million)

Tanzania haipo kwenye top 10!
WHY?

Sielewi Sudan wametushinda sisi Wakenya kivipi, halafu Nigeria $21 billions, duh! jamaa wazalendo kishenzi. Lazima uvutie ngozi upande wako, ila hata Wakenya hatujabaki nyuma na tunatamba na kutanua. Tayri diaspora wetu tumewapa raia pacha, wawekeze nyumbani...tunataka hizo $$$$
 
watanzania wengi nje hawana kazi za maana. watanzani wasomi kutoka kwao ni kazi sana, nahisi na ujamaa ulichangia.

Hizo wanazotumia wakenya hazitokani na kazi za maana, ni kazi hizohizo wanayofanya wabongo, na utumaji wenyewe ndio ule wa kujenga, kusomesha wadogo zao au matibabu kwa ndugu.

Wanachotuzidi wao ni kule kutambulika na pia taratibu au mfumo wao wa uchumi unawafanya watambue kila kinachoingia.
 
Wanachotuzidi wao ni kule kutambulika na pia taratibu au mfumo wao wa uchumi unawafanya watambue kila kinachoingia.
Mkuu, hapo kwenye issue ya 'kutambulika' unazungumzia 'uraia pacha' au?
 
Wakenya tunatamba na kutanua.
What's with you and kutamba-ring and kutanua-ring???
Na sijui kuvuta vuta ngozi....u literally had an argument here with someone over that saying!
Anyways, nawapa Kenya big up kwa hili.....sisi diaspora wamelala usingizi wa pono!
Wakiulizwa wanasema wamenyimwa uraia Tz, i don't know how valid that point is!
Tz tungekuwa tunapata walau $1 billion tungekuwa mbali sana!
 
Toka miaka ya nyuma diaspora walionekana kama tishio kwa viongozi. Kutambulika kwa maana ya kuwa na record ya mchango wao kwa taifa kiuchumi. Ndio maana wanadharaulika hata na walalahoi.
 
Mkuu, hapo kwenye issue ya 'kutambulika' unazungumzia 'uraia pacha' au?

Toka miaka ya nyuma diaspora walionekana kama tishio kwa viongozi. Kutambulika kwa maana ya kuwa na record ya mchango wao kwa taifa kiuchumi. Ndio maana wanadharaulika hata na walalahoi.
 
Hizo wanazotumia wakenya hazitokani na kazi za maana, ni kazi hizohizo wanayofanya wabongo, na utumaji wenyewe ndio ule wa kujenga, kusomesha wadogo zao au matibabu kwa ndugu.

Wanachotuzidi wao ni kule kutambulika na pia taratibu au mfumo wao wa uchumi unawafanya watambue kila kinachoingia.
na wingi wao pia. US kuna kama wakenya 100,000 wakati watz ni 20,000.
 
Sikuelewi.....kama mnapenda kuinvest nyumbani basi Remittances zingekuwa higher than that au?

Namaanisha nje wanakaa wanafunzi.. Wagonjwa na watu kama hao..Xo hawana uwezo wa kuinvest. Wenye uwezo wanaish humuhumu kwa kua fursa bado ni nyingi hapa bongo.. Wakenya na waganda lazima watoke kwa kua ardhi hawana .Wakizipata ndo wanatuma makwao ili ndg zao waende chooni. Ukifuatilia kwa makin unaweza kukuta hizo hela za wakenya, na waganda nyingi zinatokea bongo.
 
Back
Top Bottom