"hopeful ni habari ya kweli"?? kwa hiyo ulikuwa unasubiri afe?R.I.P Kanumba..."hopeful ni habari ya kweli"
R.I.P Kanumba...hopeful ni habari ya kweli
Mbona blogs zinasema ni kifo cha ghafla tu tena akiwa nyumbani kwake...yasemekana alikuwa na Lulu.
sasa umejuaje alikuwa anaumwa?ugonjwa aliokuwa anaumwa haujawekwa bayana.