Tanzania yatia aibu huko Olympic

Picha hizi mbili zimepigwa jana tarehe 23 Julai 2021 wakati wa tukio la ufunguzi wa michezo ya Olimpiki jijini Tokyo, Japan.

Ki-utaratibu, kila nchi iliyopeleka wawakilishi inatajwa halafu wawakilishi wanapita mbele ya umati wakiwa na bendera ya taifa lao. Kutakuwa na jumla ya matukio 339, kwa aina za michezo 33, kwa namna 46

Picha ya juu ni tukio baada ya Tanzania kutajwa. Wawakilishi wa Tanzania ni watatu tu, lakini hawakuwepo. Hapa alionekana mtu mmoja mwenye asili ya Asia akipeperusha bendera ya Tanzania kama mwakilishi wa nchi yetu.
Picha ya chini ni tukio baada ya Kenya kutajwa.

Jumla ya wanamichezo 11,091 kutoka nchi 206 duniani watashindana kupata medali za dhahabu, fedha au shaba. Zipo nchi zimepeleka wanamichezo 100+, 200+, 400+ hadi 600+

Tanzania, nchi yenye watu takribani milioni 60, na asilimia zaidi ya 90 wapo chini ya miaka 35, umri wa michezo, imepeleka wawakilishi watatiu, ambao hawajaonekana wakati nchi yao ikitajwa.

Vijana wamebaki ndani ya nchi yao wanacheza ndondo, kubeti, singeri na kuuza karanga. Viongozi wao hawajali! Maneno mengi ya kutia matumaini yanasemwa majukwaani, vijana wanakubali bila kufikiri, na akili ya kudai hawana. Wamefungwa akili, wanaamini Mungu ndiye aliyewapangia kuwa kama walivyo, siku yao itakuja... miaka mia ijayo.

Ni nani mwenye akili ya kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kuboresha sekta ya michezo na kuiunganisha nchi na jumuia za michezo za kimataifa? Hakuna. Kuna wizara ya michezo? Ipoipo tu.

Tuendelee na masiasa yetu ya kuumizana, ndicho tunachoweza.View attachment 1866543View attachment 1866544
Tunahitaji kukuza namba ya watalii nchini lakini tunashindwa kutumia fursa hizi (michezo ya olympic) kujitangaza kama taifa.
Ila waziri wa utalii ataomba bajeti ya bilioni 700 kutangaza utalii kwenye redio za nyumbani
Bila kuhukua hatua,nchi hii itaendelea kuwa changa milele.
 
Bado tunahangaika na gaidi asie na silaha nchini kwetu. Olympic tutaendacrukiwa tayaricnacamami ndani ya nchi. Kwa sasa acha tupambane na ugaidi kwanza
 
Picha hizi mbili zimepigwa jana tarehe 23 Julai 2021 wakati wa tukio la ufunguzi wa michezo ya Olimpiki jijini Tokyo, Japan.

Ki-utaratibu, kila nchi iliyopeleka wawakilishi inatajwa halafu wawakilishi wanapita mbele ya umati wakiwa na bendera ya taifa lao. Kutakuwa na jumla ya matukio 339, kwa aina za michezo 33, kwa namna 46

Picha ya juu ni tukio baada ya Tanzania kutajwa. Wawakilishi wa Tanzania ni watatu tu, lakini hawakuwepo. Hapa alionekana mtu mmoja mwenye asili ya Asia akipeperusha bendera ya Tanzania kama mwakilishi wa nchi yetu.
Picha ya chini ni tukio baada ya Kenya kutajwa.

Jumla ya wanamichezo 11,091 kutoka nchi 206 duniani watashindana kupata medali za dhahabu, fedha au shaba. Zipo nchi zimepeleka wanamichezo 100+, 200+, 400+ hadi 600+

Tanzania, nchi yenye watu takribani milioni 60, na asilimia zaidi ya 90 wapo chini ya miaka 35, umri wa michezo, imepeleka wawakilishi watatiu, ambao hawajaonekana wakati nchi yao ikitajwa.

Vijana wamebaki ndani ya nchi yao wanacheza ndondo, kubeti, singeri na kuuza karanga. Viongozi wao hawajali! Maneno mengi ya kutia matumaini yanasemwa majukwaani, vijana wanakubali bila kufikiri, na akili ya kudai hawana. Wamefungwa akili, wanaamini Mungu ndiye aliyewapangia kuwa kama walivyo, siku yao itakuja... miaka mia ijayo.

Ni nani mwenye akili ya kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kuboresha sekta ya michezo na kuiunganisha nchi na jumuia za michezo za kimataifa? Hakuna. Kuna wizara ya michezo? Ipoipo tu.

Tuendelee na masiasa yetu ya kuumizana, ndicho tunachoweza.View attachment 1866543View attachment 1866544
Aibu. Na bado tunasema tunayo wizara ya michezo na utamaduni. Kazi yao imebaki kuwafungia wasanii tu basi.
 
Huyo si mchina,ni mtanzania kwenye asili ya Asia,amekuwa Tanzania kwa muda sasa na kuchukua uraia,pia nazani unaona kavaa nguo ya blue inayowakilisha bahari na maziwa yetu.
Kuhusu idadi ya washiriki msiwe na shaka,tulicho angalia kama nchi ni quality ya washiri tuliyowapeleka nchi inaweza kupeleka washiriki 100 ikarudi bila medani.Sisi tumewapeleka washiriki bora wanne tuna uhakika wa kurudi na medani za kutosha.
 
Huyo si mchina,ni mtanzania kwenye asili ya Asia,amekuwa Tanzania kwa muda sasa na kuchukua uraia,pia nazani unaona kavaa nguo ya blue inayowakilisha bahari na maziwa yetu.
Kuhusu idadi ya washiriki msiwe na shaka,tulicho angalia kama nchi ni quality ya washiri tuliyowapeleka nchi inaweza kupeleka washiriki 100 ikarudi bila medani.Sisi tumewapeleka washiriki bora wanne tuna uhakika wa kurudi na medani za kutosha.
😀😀😀
 
Picha hizi mbili zimepigwa jana tarehe 23 Julai 2021 wakati wa tukio la ufunguzi wa michezo ya Olimpiki jijini Tokyo, Japan.

Ki-utaratibu, kila nchi iliyopeleka wawakilishi inatajwa halafu wawakilishi wanapita mbele ya umati wakiwa na bendera ya taifa lao. Kutakuwa na jumla ya matukio 339, kwa aina za michezo 33, kwa namna 46

Picha ya juu ni tukio baada ya Tanzania kutajwa. Wawakilishi wa Tanzania ni watatu tu, lakini hawakuwepo. Hapa alionekana mtu mmoja mwenye asili ya Asia akipeperusha bendera ya Tanzania kama mwakilishi wa nchi yetu.
Picha ya chini ni tukio baada ya Kenya kutajwa.

Jumla ya wanamichezo 11,091 kutoka nchi 206 duniani watashindana kupata medali za dhahabu, fedha au shaba. Zipo nchi zimepeleka wanamichezo 100+, 200+, 400+ hadi 600+

Tanzania, nchi yenye watu takribani milioni 60, na asilimia zaidi ya 90 wapo chini ya miaka 35, umri wa michezo, imepeleka wawakilishi watatiu, ambao hawajaonekana wakati nchi yao ikitajwa.

Vijana wamebaki ndani ya nchi yao wanacheza ndondo, kubeti, singeri na kuuza karanga. Viongozi wao hawajali! Maneno mengi ya kutia matumaini yanasemwa majukwaani, vijana wanakubali bila kufikiri, na akili ya kudai hawana. Wamefungwa akili, wanaamini Mungu ndiye aliyewapangia kuwa kama walivyo, siku yao itakuja... miaka mia ijayo.

Ni nani mwenye akili ya kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kuboresha sekta ya michezo na kuiunganisha nchi na jumuia za michezo za kimataifa? Hakuna. Kuna wizara ya michezo? Ipoipo tu.

Tuendelee na masiasa yetu ya kuumizana, ndicho tunachoweza.View attachment 1866543View attachment 1866544
Tanzania imewekeza sana kwenye SIASA, kuliko kitu kingine chochote kile! Na hili ndilo tatizo kubwa.

Viwanja vya michezo karibia 90% ccm wamejimilikisha! Huku wakishindwa kabisa kuviendeleza. Wanasiasa wanalipwa mishahara na posho nono kuliko wachezaji!

Nchi haina sera inayoeleweka ya michezo, kiasi cha kufanya michezo kuonekana kama ni fani ya watu wasio na akili na walioshindwa maisha!

Nchi inachezea pesa nyingi kwenye mambo ya hovyo hovyo, kuliko kuwekeza kwenye ujenzi wa viwanja bora vya michezo, kuwapeleka watoto wadogo kwenye academy za nje, nk.
 
tatizo ni Mbowe na CHADEMA sio wazalendo ndo wanatuhujum mpaka tunakosa wawakilishi kwenye mambo kama hayo, vinginevyo tungeenda wengi na medali zote tungebeba.
 
Picha hizi mbili zimepigwa jana tarehe 23 Julai 2021 wakati wa tukio la ufunguzi wa michezo ya Olimpiki jijini Tokyo, Japan.

Ki-utaratibu, kila nchi iliyopeleka wawakilishi inatajwa halafu wawakilishi wanapita mbele ya umati wakiwa na bendera ya taifa lao. Kutakuwa na jumla ya matukio 339, kwa aina za michezo 33, kwa namna 46

Picha ya juu ni tukio baada ya Tanzania kutajwa. Wawakilishi wa Tanzania ni watatu tu, lakini hawakuwepo. Hapa alionekana mtu mmoja mwenye asili ya Asia akipeperusha bendera ya Tanzania kama mwakilishi wa nchi yetu.
Picha ya chini ni tukio baada ya Kenya kutajwa.

Jumla ya wanamichezo 11,091 kutoka nchi 206 duniani watashindana kupata medali za dhahabu, fedha au shaba. Zipo nchi zimepeleka wanamichezo 100+, 200+, 400+ hadi 600+

Tanzania, nchi yenye watu takribani milioni 60, na asilimia zaidi ya 90 wapo chini ya miaka 35, umri wa michezo, imepeleka wawakilishi watatiu, ambao hawajaonekana wakati nchi yao ikitajwa.

Vijana wamebaki ndani ya nchi yao wanacheza ndondo, kubeti, singeri na kuuza karanga. Viongozi wao hawajali! Maneno mengi ya kutia matumaini yanasemwa majukwaani, vijana wanakubali bila kufikiri, na akili ya kudai hawana. Wamefungwa akili, wanaamini Mungu ndiye aliyewapangia kuwa kama walivyo, siku yao itakuja... miaka mia ijayo.

Ni nani mwenye akili ya kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kuboresha sekta ya michezo na kuiunganisha nchi na jumuia za michezo za kimataifa? Hakuna. Kuna wizara ya michezo? Ipoipo tu.

Tuendelee na masiasa yetu ya kuumizana, ndicho tunachoweza.View attachment 1866543View attachment 1866544
NO RESEARCH, NO RIGHT TO SPEAK!
1. Katika michezo ya Olimpiki iliyo mingi wanapelekwa wale waliofuzu kwenye hatua za awali katika Mabara / kanda zao. Katika michezo hii nafikiri TZ imefuzu katika Marathoni kama sikosei ambapo watakuwepo wanariadha kadhaa, mingine kama Ngumi, Football (W & M), Judo, Kuteleza kwenye barafu, soka la Ufukwenu and the like tuliangukia Pua
2. Kutokana na COVID 19, wale washiriki wa michezo itakayoanza wiki ya pili, hawakutakiwa kuwepo wakati wa ufunguzi, yaani wataenda baadaye. Kwa TZ michezo tunayoshiriki ipo ktk wiki ya pili, ndiyo maana hawapo kwenye ufunguzi na watakuwepo wiki ya pili yaani wiki hii
Hivyo epuka kulaumu bila kufanya utafiti, vijana wa riadha walikuwa bado Arusha nafikiri kituo kimoja cha TV kiliwahoji
 
inasikitisha lakini ndivyo ilivyo, watanzania wenye asili ya ki Asia ndio WAZALENDO kuliko sisi asilia.
Mfano kodi hii ya miamala ya simu A.K.A "YAKIZALENDO" inayotukosesha raha, mgunduzi wake ni mbunge mtanzania mwenye asili ya kiasia Zungu.
Mkuu sidhani kama huyo ni mtanzania.
Nadhani hakuna aliejitokeza kuipeperusha hiyo bendera, kuliko kulitia aibu taifa wakaona ni bora apite yeyote tu walau wadau wajue iyo nchi pia imo.
 
Back
Top Bottom