Acha kudanganya ku assemble kwa kiswahili ni kuunganisha kifaa ambacho kishatengenezwa .. hivyo wao wanachukua vifaa ambavyo vishachakatwa au kutengenezwa na kuja kuviassemble au kuviunganisha mfano baiskel za Avon au Phonex vifaa vinakuja Tanzania kwenye mabox hapa Tanzania tunafanya assemblingMeli,magari ,pikikii vyote huwa vinakuwa assembled kiswahili inaitwa kutengeneza.Hata mjapani magari yote anachofanya Ni KU assemble kiswahili tunaita kutengeneza but kiingereza Ni ku assemble
Saafii kabisaAssembe ni kutengeneza?
What about manufacturing?
Kuna assembled by na Manufactured by.
Sio kuponda .. hivi unajua maana ya Manufactured by.. na assembled by??Yapo majitu humu yataponda ! Yaan !
Wewe ndo mjinga ,.tutajie viwanda hapa Tanzania ambavyo vinafanya manufucturaling na sio Kama wana assembleWewe ni katika wajinga Fulani watu wameshajitengenezea pikipiki na magari yao binafsi majumbani na Hadi plate number wanazo yako barabarani wewe sijui uko dunia gani
No. Engine huwa zinaagizwa mkuu. Zinakuja engine peke yake. Hapo wanaanzia wanasukia system ya exsozit,system ya cooling. MUHIMU uKwa hiyo mkuu mpaka injini nayo inasukwa hapo hapo au inaagizwa na kupachikwa kabla sijakuja kwenye swali la msingi
Kwa hiyo wanatengeneza bod ??!!Mmh huyo jamaa mbona anatengeneza Meli kitambo tokea wakati wa kikwete alishapewa tenda akaunda kwenye lakes zetu... Acha kutoa sifa ovyo ovyo mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni.. mabati yanaungwa kufuata michoro na vifaa vya kuendeshea na kuongoza vinaagizwa nje
Nafikiri kuna mahala walikwamishana tu na huyo uliemtaja. Nimefanya nao kazi hawa jamaa,ni watu makini sana. Nime-Spray baadhi ya vifaa hapo kwenye ujenzi wa hizo meli. Kuna jamaa yangu nilimuunganisha nao,wamemtengenezea FAIBA ya watu wa5 bila shida na kwa gharama nafuu. Huyo uliyemtaja ni wanajiita wajasiriamali. Lakini anatafuta sana mianya ya pungufu. Kwa vyovyote alitaka kuwapiga mahala,akawazingua,nao wakamzingua vile vile. Lakini kwa ujumla nawapa heko sana hii kampuni,ni makini. Sifa nyingine wakifika mahala huwa wanashirikiana kwa karibu na wananchi wa mahala mradi ulipo,kuanzia kuwaajiri mafundi,kama hawana ujuzi wanawafundisha na kuwaajiri,madereva n.kUsimpe sifa bure hawa wameanz tengeneza meli kitambo refer kesi ya shigongo kuwasjitaki songoro baada ya kuwalipa ela wamjengee boat sijui ya kwenda ukelewe wakamzungusha boat wakajenga lakini hawakumpa
Injini wanasuka wenyewe au wanaagiza ujajibu swali
Vitu viwili vinafanyika
1)kuna baadhi ya vifaa ambavyo ni direct imported huwa wanaassemble kama vile engines n.k
2)kuna vitu ambavyo huwa vinaundwa au kutengenezwa hapa hapa bongo ambavyo huwa vinahusisha welding activities
Kwa hiyo tukisema meli inatengenezwa hapa bongo sawa au tunafanya assembly sawa
Mmmh mkuu hapa umetereza.Meli,magari ,pikikii vyote huwa vinakuwa assembled kiswahili inaitwa kutengeneza.Hata mjapani magari yote anachofanya Ni KU assemble kiswahili tunaita kutengeneza but kiingereza Ni ku assemble
Kwa hiyo wanatengeneza bod ??!!
bod ndio nini?Kwa hiyo wanatengeneza bod ??!!
'You have to think twice' do you even know the context of this phase ? Andika kiswahili tu yatosha.Sio kuponda .. hivi unajua maana ya Manufactured by.. na assembled by??
You have to think twice..
mara nyingi ni assembling not manufacturingLeo kwenye taarifa ya habari nimeona habari yakushtuaView attachment 1207658
Je hiyo meli imeteng’enezwa kweli au imefanyiwa assembled? Wajuvi tujuzeni