YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,033
Siwezi endelea kubishana na jinga Kama weweEti kuassemble nikutengeneza hujielewi wewe
Siwezi endelea kubishana na jinga Kama weweEti kuassemble nikutengeneza hujielewi wewe
Engine zimeandikwa made in TZ? TZ kuna kiwanda gani cha kutengeneza engine?Wametengeneza kweli,hao jamaa niliwahi kuona Mwanza wametengeneza kivuko...
Engine wananunua,tairi wananunua,gia box wananunua,nyaya za umeme za gari wananunua,taa za gari wananunua ,chuma wananunua,seat wananunua wanachofanya kazi kubwa Ni kazi ya welding ya kutengeneza bodi na kupachika hivyo walivyonunua yaani KU assemble .Viwandani vyao vina mitambo mikubwa automatic ya kuassemble.Japan Wana desingners wazuri wa kuchora bodi za magari na welders wazuri.Otherwise kinachofanyika ni.ku assemble tu
Siwezi endelea kubishana na jinga Kama wewe
hii kwa mujibu wa kamusi ya Taasis ya Uchunguzi wa Kiswahili TUKIEti kuassemble nikutengeneza hujielewi wewe
Unaota makampuni ya magari Ni Tofauti na ya kutengeneza injini.Japan ziko.kampuni za kutengeneza injini tu za Aina zote za magari ,ndege ,meli nk na huuzia kampuni za kutengeneza magari.Hakuna hata kiwanda kimoja Cha kutengeneza magari,meli au ndege kinachotengeneza injini.Wote huweka order viwanda vya injini.Hata kiwanda Cha ndege Cha Boeing injini za ndege hununua.Hujui kitu wewe makampuni yamagari yanateng’eneza engine zenyewe
Eti tiyota wanaenda kununua engine! pathenic
hii kwa mujibu wa kamusi ya Taasis ya Uchunguzi wa Kiswahili TUKI
Kuna kifaa kinaitwa MV KAZI,kinavusha pale kivukoni magogoni dakika mbili-tatu. Wametengeneza hao Songoro Marine. Jamaa wako vizuri, wanajenga vivuko kibao awamu hii.Leo kwenye taarifa ya habari nimeona habari yakushtuaView attachment 1207658
Je hiyo meli imeteng’enezwa kweli au imefanyiwa assembled? Wajuvi tujuzeni
Hii mkuu haina tofauti na zile mwendokasi za Dar,engine ni ya Marekani/Canada na hata gearbox,lakini body na finishing yote kafanya mchina,kwahiyo wachina wametengeneza ile basi,Ni made in China...Engine zimeandikwa made in TZ? TZ kuna kiwanda gani cha kutengeneza engine?
Kuna watu wengine mimba ziliingia kwa bahati mbaya kwa sababu7ya kondomu kupasuka. Mbona meli wanatengeneza tu hapo mwanza, pia kulikuwa na mjerumani pale kamanga alikuwa anatengeneza vizuri sana. Songoro marine ni wazuri sana kwenye hiyo shughuli, leo hii mnuka mdomo anasema kama baiskeli hatutengeneziBaskeli yenyewe tumeshindwa meli ndio tutaweza?
Baskeli yenyewe tumeshindwa meli ndio tutaweza?
Soma comment yangu na uielewe. Isome taratibu, usipoielewa rudia tena na tena ndipo unijibuHii mkuu haina tofauti na zile mwendokasi za Dar,engine ni ya Marekani/Canada na hata gearbox,lakini body na finishing yote kafanya mchina,kwahiyo wachina wametengeneza ile basi,Ni made in China...
Kuna watu wengine mimba ziliingia kwa bahati mbaya kwa sababu7ya kondomu kupasuka. Mbona meli wanatengeneza tu hapo mwanza, pia kulikuwa na mjerumani pale kamanga alikuwa anatengeneza vizuri sana. Songoro marine ni wazuri sana kwenye hiyo shughuli, leo hii mnuka mdomo anasema kama baiskeli hatutengenezi
Toyota kwa hiyo wananunua engine?
Land rover discovery 3 4.0 V6 ina Ford EngineHujui kitu wewe makampuni yamagari yanateng’eneza engine zenyewe
Eti tiyota wanaenda kununua engine! pathenic
Sio Toyota tu. Hata VW, Ford nk. Kampuni za magari huwa wanaagiza almost kila kitu toka kwa manufacturers waliopo nchi mbalimbali. Ndipo wanavikusanya na kutengeneza finished products.
Mimi si mtaalamu wa kiswahili ila kwa maoni yangu bado lugha yetu inapungukiwa ,neno moja lina maana ya maneno mawili ya kiingeleza yenye maana tofauti au wewe unasemaje?Wewe unasemaje?